Kijacho Jr
Member
- Dec 23, 2014
- 53
- 14
Hii ni zaidi ya karaha kwa wanawake wembamba huwa wanalia sana wakati wa tendo la ndoa hadi kuwa kero kwa majirani hasa nyumba zetu za kupanga jee huu ni mzuka au sifa?
Mkuu inaonekana umepiga kwingi duuu ila hongera
Kiselaaa
Mkuu inaonekana umepiga kwingi duuu ila hongera
Ameamua kuweka CV yake kijanja ili kinadada wafurike PM yake hahahaaaaa!!
Ameamua kuweka CV yake kijanja ili kinadada wafurike PM yake hahahaaaaa!!
mi nishamshutukia hii teknik hii loooh
Ha ha ha ha ha imebidi nicheke
Nachofahamu mimi wanawake wembamba wanamaumbile marefu kwenda ndani kwenye sehemu yao ya uzazi. Ndiyo maana rahisi sana kumridhisha mwanamke mwenye mwili/mnene kuliko mwembamba. Kelele za mwanamke kwenye tendo halihusiani na mwili wake, ila ni vile unavyomgusa na kukumkuna, anajikuta ghalfa tu mayowe yanamtoka na wengine hata kulia. Wengine kutukana kabisa.