Nakubaliana na ww kuwa kumridhisha mwanamke mnene ni rahisi kuliko mwembamba lkn co kwa sababu ulizotoa mkuu.
Mwanamke anaweza akawa mwembamba harafu ni mfupi sasa kina kinakuwaje kirefu? Au wapo wanawake warefu hatafu wanene utasema wanavina vifupi? Hawa wote wahahitaji aina flani ya wanaume watakao weza kiwaridhisha kutokana na maumbile yanayoshabihiana na maumbile yao.
Wanaume na wanawake wanene wana protein na mafuta mengi mwilini hvyo hisia zao zipo juu na nirahisi kufikia mshindo kuliko watu wembamba ambao hisia zao ziko mbali kidogo, wengine zipo mbali sana. Me napenda wanawake wanene kwakiwa wanatamanisha ila ukijaribu kupima oil kati ya wanene na wembamba ndo utajua mihemko yao. Na angalia wanaume wanene hata sehemu za kazi ni wadhaifu sana kwa vibinti, jaribu kuchinguza ukilinganisha na wanaume wembamba, ambao wengi wapo kawaida sana hawana zile nyege mshindo.