Wanawake wema wapo wengi sana!

Wanawake wema wapo wengi sana!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,101
Ukweli ni kwamba wanawake wema wa kuowa na ma gentlemen tupo wengi sana sema hatuonekani kirahisi bila kutumia hekima!
Mwanamke mwema inakuwa ngumu kumtambua sababu Wenda hana!
A:Figure 8
B:Chura
C:Labda ni mweusi kama mkaa
D:Labda hana account Instagram
E:Labda hana outing za Mara kwa Mara!
Hata waohaji wapo ila hawaonekani maybe kwa sasa hawana!
A:Six pack
B:Hawasuki nywele
C:Hawapost chochote Instagram
D:Hawana V6
N:B,kama una jicho kama la ndege Tai ni rahisi kuona!

Sent by Diaspora
 
Smartphone itabaki kuwa smartphone tu, hata kama kuna watu wanajifanya wanapenda Nokia tochi eti kwasababu inakaa na chaji, lakini smartphone itabaki kuwa smartphone.
 
fact kabisa nakuwapata ni balaa
Au umpate mwanaume anayejiheshimu ni balaa yaan huwa hapashikiki then ukute ni HB🤔..utaomba Mungu Dunia ipasuke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha ni kweli kabsa mkuu wengi tunapenda wale wanaume wanao vaa suruali kwa msaada wa Rambo na wanatukomesha mbona...
 
Waaambie, kutupata inahitajika hekima kubwa sana.
 
Wanawake wa namna hiyo wasumbufu sana,sidhani kama kuna mwenye muda wa kupoteza kuangaikia wanawake badala ya maisha,binafsi sijui na sijawai kujishusha utu wang kisa kupenda au kushawishi kupendwa.

Napokutongoza ukileta pozi natembea.
 
Wanawake wa namna hiyo wasumbufu sana,sidhani kama kuna mwenye muda wa kupoteza kuangaikia wanawake badala ya maisha,binafsi sijui na sijawai kujishusha utu wang kisa kupenda au kushawishi kupendwa.

Napokutongoza ukileta pozi natembea.
Mambo ya kubembeleza mwachie pilipili tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Y
Hahaha ni kweli kabsa mkuu wengi tunapenda wale wanaume wanao vaa suruali kwa msaada wa Rambo na wanatukomesha mbona...
Yaani! tena personally nahitaji maombi. Anaekupenda humpendi na unajua kuwa unapendwa. Kufanya maamuzi sasa!
 
Kwa mamlaka niliyokabidhiwa natoa ruhusa kwa wenye povu kutoa povu lao...
 
Back
Top Bottom