Wanawake wasiozaa (wagumba)...

Wanawake wasiozaa (wagumba)...

Kama umasikini wa kukosa mtoto, si ndiyo?

Kuna umasikini wa kukosa mtoto.

Kuna umasikini wa kupata mtoto.

Kuna umasikini wa mawazo unaofanya mtu kuanza kuandama waliokosa au kutotaka watoto. Bila hata ya kuona umasikini wa kupata watoto!

Kuna umasikini wa kuendekeza "Utajiri wa maskini watoto".

Do you. Remember to let others be themselves. As long as they are not in your rails.

But then again, your rails may be all up in their grills, which could get tricky.
 
Kuna umasikini wa kukosa mtoto.

Kuna umasikini wa kupata mtoto.

Kuna umasikini wa mawazo unaofanya mtu kuanza kuandama waliokosa au kutotaka watoto. Bila hata ya kuona umasikini wa kupata watoto!

Kuna umasikini wa kuendekeza "Utajiri wa maskini watoto".

Do you. Remember to let others be themselves. As long as they are not in your rails.

But then again, your rails may be all up in their grills, which could get tricky.

"Umaskini wa kupata mtoto" ndiyo umaskini gani huo?

Kama "kupata mtoto" ingekuwa na negative connotation equivalent to "umaskini" sijui hata kama wewe ungezaliwa.

In fact, idadi ya Watu duniani ingekuwa inateremka kila siku, na siyo kwenda juu.
 
Nimeona gangsta rappers kibao showing their human sides on several TV shows, kitu ambacho mtu wa kawaida asingetegemea, and I therefore beg to disagree.

Watu kama T.I, DMX, Jim Jones, The Game tumewaona wakilialia na kuonyesha their softer sides kwenye shows kama "T.I and Tiny: The Family Hustle", "Celebrity Rehab", "Love & Hiphop", "Marrying The Game" bila ya these dudes necessarily losing their gangsta or street credibility.

Gangsta rappers na kulia ina uhusiano gani na mada yako?
 
Gangsta rappers na kulia ina uhusiano gani na mada yako?

Mkuu! Hii sloppy bait-and-switch work of yours ain't gonna work with me.

Labda nikuulize, ulikuwa unamaanisha nini kwa kusema "najishushia injini" kwa kuweka topic kama hii hadharani?
 
Kwa utamaduni wa kiafrika, you need to be gay au mmoja kati ya unfortunates wasiyoweza kuzaa kutokana na mapungufu fulani ya kibaiolojia.

Wewe, watoto liability!

Ila kwa hao wadada warembo kwenye blogs, labda wame-freeze embryo sehemu.
We unafahamu embryo ni nini?

Acha kina dada wafaidike na maisha yao bila mizigo na usumbufu hadi wenyewe wakiamua.
 
Wewe mleta maada unaonekana bado upeo wako ni mdogo sana.

Suala la kuzaa au kutokuzaa ni jambo binafsi na pia lina association na nature na siyo suala la kutaka kupoteza muda kudiscuss. Kuzaa ni sehemu ndogo sana ya life (almost inegligible )

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hmmm...wengine wameshusha sana injini hao.

Nimeona gangsta rappers kibao showing their human sides on several TV shows, kitu ambacho mtu wa kawaida asingetegemea, and I therefore beg to disagree.

Watu kama T.I, DMX, Jim Jones, The Game tumewaona wakilialia na kuonyesha their softer sides kwenye shows kama "T.I and Tiny: The Family Hustle", "Celebrity Rehab", "Love & Hiphop", "Marrying The Game" bila ya these dudes necessarily losing their gangsta or street credibility.

Gangsta rappers na kulia ina uhusiano gani na mada yako?

Mkuu! Hii sloppy bait-and-switch work of yours ain't gonna work with me.

Labda nikuulize, ulikuwa unamaanisha nini kwa kusema "najishushia injini" kwa kuweka topic kama hii hadharani?

Njabu, naona hatukuelewana tu Kiswahili hapo. Back in my day 'kushusha injini' ilimaanisha ni kutoa mimba. Na inasemekana mwanamke akitoa sana (sijui sana ni mara ngapi) basi baadaye anaweza akaja kuwa mgumba.

Sasa wewe uliuliza niaje baadhi ya hao wadada hawana watoto ndiyo nami nika-chime in na kusema 'wengine wameshusha sana injini hao' nikimaanisha wengine wametoa sana mimba hivyo huenda matendo hayo yamewasababishia ugumba.

Sikusema popote kuwa wewe unajishushia injini. Na kama ulichukulia kuwa nakusema wewe basi ni ulichukulia vibaya tu. I hope umenielewa nilichomaanisha.
 
Wewe, watoto liability!

Ila kwa hao wadada warembo kwenye blogs, labda wame-freeze embryo sehemu.
We unafahamu embryo ni nini?

Acha kina dada wafaidike na maisha yao bila mizigo na usumbufu hadi wenyewe wakiamua.

Sawa mkuu! Nimekuelewa.

Wame-freeze embryos zao for possible futuristic reproductive capabilities kwa mabilioni ya shilingi kama wafanyavyo wale ma-superstar wa Hollywood sababu they happen to be superstars of Bongo Blogs lakini kiukweli ni kwamba they should consider themselves extremely lucky kama wakifanikiwa kuambulia sponsorship shillings in less than a million TZ shs za matangazo ya design ya "Ebenezer Natural Products" au "Chicago blah blah blah".
 
Njabu, naona hatukuelewana tu Kiswahili hapo. Back in my day 'kushusha injini' ilimaanisha ni kutoa mimba. Na inasemekana mwanamke akitoa sana (sijui sana ni mara ngapi) basi baadaye anaweza akaja kuwa mgumba.

Sasa wewe uliuliza niaje baadhi ya hao wadada hawana watoto ndiyo nami nika-chime in na kusema 'wengine wameshusha sana injini hao' nikimaanisha wengine wametoa sana mimba hivyo huenda matendo hayo yamewasababishia ugumba.

Sikusema popote kuwa wewe unajishushia injini. Na kama ulichukulia kuwa nakusema wewe basi ni ulichukulia vibaya tu. I hope umenielewa nilichomaanisha.

Ok. Nyani, hapo nimekuelewa. By the way, what's your opinion about all those middle-aged women posing like teens in the many blogs out there you get to see on the daily?
 
Ok. Nyani, hapo nimekuelewa. By the way, what's your opinion about all those middle-aged women posing like teens in the many blogs out there you get to see on the daily?

They ain't nothing but attention seeking hos. Some of the things they do are beyond shameful.

It's like they ain't got nothing better to do than get catty with each other on social networking sites.

Check this one out.
 
They ain't nothing but attention seeking hos. Some of the things they do are beyond shameful.

It's like they ain't got nothing better to do than get catty with each other on social networking sites.

Check this one out.

Man, that's what I was talkin' about.

And ain't she one ugly bi.tch?

Damn!
 
"Umaskini wa kupata mtoto" ndiyo umaskini gani huo?

Kama "kupata mtoto" ingekuwa na negative connotation equivalent to "umaskini" sijui hata kama wewe ungezaliwa.

In fact, idadi ya Watu duniani ingekuwa inateremka kila siku, na siyo kwenda juu.

Kuna watu wamezaa na wanajuta kuzaa. Huo ndo umasikini wa kupata mtoto.
 
Kuna watu wamezaa na wanajuta kuzaa. Huo ndo umasikini wa kupata mtoto.

Mkuu Kiranga, kwa kiasi kikubwa, kwa mila na tamaduni za Jamii za Kitanzania, kuna tofauti kubwa ya Mwanamke kuweza kuzaa mtoto angalau mmoja na Mwanamke kuzaa watoto wawili au zaidi.
 
They ain't nothing but attention seeking hos. Some of the things they do are beyond shameful.

It's like they ain't got nothing better to do than get catty with each other on social networking sites.

Check this one out.

Regarding my above posting, just in case you happen to be kinda unsure about who exactly I was aiming at, it's none other than that ugly ass c.unt Loveness Mwamuya.

That bitch sure is fat and ugly as hell, plus she looks evil and narcissistic in all her demeanor.
 
Mkuu Kiranga, kwa kiasi kikubwa, kwa mila na tamaduni za Jamii za Kitanzania, kuna tofauti kubwa ya Mwanamke kuweza kuzaa mtoto angalau mmoja na Mwanamke kuzaa watoto wawili au zaidi.

Kwa nini unafikiri wale wanataka kuendeleza mila na tamaduni za kitanzania?

Unajuaje mathalani, kama hawajaamua kutozaa kwa sababu washajijua wana magonjwa ya kurithisha wasiyotaka kurithisha?

Au wanataka kuponda maisha bila dhahama za malezi?

Au washajijua mafyatu na wanajiona hawafai kuzaa?

Au ni wanamazingira wanaoamini kutozaa mtoto leo kutaisaidia dunia kuwa na watu milioni moja pungufu katika miaka 1000 ijayo na hivyo kupunguza carbon footprint zao?

Au hawajawa na uhakika tu wa maisha?

Au hawajapata mabwana wanaowataka?

Au wana watoto wamewaficha kwa bibi zao wewe hujui?

Au hawana uwezo wa kupata mtoto na hilo haliwahuzunishi?

Au wamefunga vizazi makusudi kwa hiyari zao?

So what?

Kwa nini tuwafuatilie kama hatufagilii nyendo zao?

Kama una control na internet access yako, kuna vingi sana mitandaoni vya kuangalia.

Ukishupalia hawa sana na kuwafuatilia wanaweza kusema unawataka.
 
Acha uwongo bana. Kama mwanamke wa Kitanzania, you surely don't have that prerogative. That choice is never in your hands, unless, again you're a lesbo.

Kwani wanawake Watanzania sio binadamu.?
Ni kitu gani haswa kinachowafanya wasiwe na uchaguzi wa vitu ambavyo wanataka au hawataki kufanya maishani?

I believe everyone has a choice to do what they want in life apart from little kids.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Tumezoea kuwaona wakijinadi kwa mbwembwe, urembo na madaha kwenye majukwaa mbalimbali aka blogs, lakini ukiwaangalia utaona wengi wamepita umri na ungetegemea wangekuwa angalau na mtoto mmoja. Sitaji majina, lakini ni wazi wanajijua, haswa wale wa DMV area.

Kwa ujumla Wanawake wengi wanaoji-promote kwenye ma-blogs utaona kwa maringo wakibandika picha za kuvutia za nguo wanazovaa siku hadi siku na kujinadi kwa "model shapes" zao na jinsi walivyo "fashion conscious" and all that stuff, lakini utaona hawana watoto.

Najiuliza, Jee labda sababu ni kwamba wamegundua hawawezi kuzaa aka ni wagumba?

1. Aunt Loveness Mamuya harepresent wanawake wote wa Kitanzania DMV. Miss Temeke kaolewa na ana watoto mbali ya kuwa fashionista. Hiyo ya kushinda kwenye blogs sijui kwani mwenyewe sishindi huko na so sina uhakika na hilo.

2. Ingekuwa ni vuzuri ukawataja majina ili tujue kama kuna ukweli kwa kufanya research juu yao huko bloguni.
 
Back
Top Bottom