Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Sasaivi ananichangamkia sana,mimi usiku ule ule nilishindwa, maisha aya mmh.
Huna nguvu?
Sasaivi ananichangamkia sana,mimi usiku ule ule nilishindwa, maisha aya mmh.
ila una moyo sana ndugu yangu mimi mashine isinge simama kabisa....yani hao watuSasaivi ananichangamkia sana,mimi usiku ule ule nilishindwa, maisha aya mmh.
Ha ha ha...Umedandia boti ya vibwengo![]()
Imebidi nijicheki pia kama namwagika au lah😂😂Hahah! Mkuu nyama za tumbo ni nyingi mno kiasi kwamba akilala zinamwagika![]()
Mademu wanene wako peace sana. Akikupenda amekupenda. Zingine changamoto zinavumilika.
ata mimi wengi madem rafik zangu hua ni wanene asee wengi wako peace kabisa wanapenda kucheka,kulakula kudeka na utoto mwingi na wengi ni wavivu sema tuu hawana baya kabisa wale watu yani mtakosana saivi badae keshasahau mnaacheka tuu