Ndio kwani hujawahi kuwala?
Samahani miss chagga
Kuna vifaa huwavinakuwa kama sumaki. Yaan unavutwa vutwa.
Kifaa hakina liquid sana pia kinavuta. Sauti nyororo, maneno matamu. Tabasamu la huba. Mwendo wa maringo. Macho makubwa kidogo.
Anajua kutumia manukato.
Sio mfupi sana na sio mrefu kupita futi sita.
Mwenye kujua kusafisha kikombe chake.
Kwetu sisi tuliojaribu radha tofauti. Wanawake wanatofautiana bana. Anaweza akawa mwanamke mzuri kabisa lakini sio mtamu.
Kuna aina fulani ya wanawake yaani ukimuona tu utagundua huyu mtamu.
Kuna wanawake hawana radha kabisa yaani wanaboa. Naukute huyo mwanamke huwa anakuwa kama gogo dah utakoma.
Ila madiko diko huwa yana saidia sana.
Wanaume hawaliwi wanakula.
na vingine ngoma mnato ukimaliza inakamua na kupangusa yenyewe,pia kuna zenye kitu kama gololi,na kuna nyingine temp is high na utelezi mardadi
Maneno mabaya au mazuri?