Wanawake wanataka wenye...

Usijali dada yangu najiamini sana na wala hilo sio tatizo kwangu.Inakuaje kama sina hela ya kujiendeleza?Unataka kuniambia sitapata mpenzi muda huu mpaka nisome?Jamani mambo gani haya?Maskini wataoa wapi na lini?
mimi kwa mtazamo wangu hilo la hela wala si tatizo , wala kutokusoma! tatizo langu kubwa ni bikira yako tu! i need an expert one, ebo! Kaunga bikira ya mumeo bado hujafanikiwa kuitoa tu?? ebo!
 
Last edited by a moderator:
mimi kwa mtazamo wangu hilo la hela wala si tatizo , wala kutokusoma! tatizo langu kubwa ni bikira yako tu! i need an expert one, ebo! Kaunga bikira ya mumeo bado hujafanikiwa kuitoa tu?? ebo!

Yaani itabidi niombe pack ya makungwi tusaidiane maana; ila tusimtoe roho tu virgin wangu! gfsonwin huo ukaka si unauweka pembeni kwa muda wakati tunambikiri Eiyer si eti eeh!
 
Last edited by a moderator:
mbona mapenzi ya mkopo yapo we Eiyer huwa unaenda kuwatafutia mlimani city nini?watu wanapenda mwanaume kisa anamtreat vizuri pesa pembeni asikwambie mtu njoo huku tandale utawakuta wanaokopwa ujichukulie wa kwako hao wanaokupa headache achana nao hawakufai.
 
me binafsi i wish nipate mume anaenizidi kwa kila kitu. elimu,umri,pesa na umbo. dats all. . .
 
mimi kwa mtazamo wangu hilo la hela wala si tatizo , wala kutokusoma! tatizo langu kubwa ni bikira yako tu! i need an expert one, ebo! Kaunga bikira ya mumeo bado hujafanikiwa kuitoa tu?? ebo!

Una mambo wewe,haya bana!
 
Last edited by a moderator:
Yaani itabidi niombe pack ya makungwi tusaidiane maana; ila tusimtoe roho tu virgin wangu! gfsonwin huo ukaka si unauweka pembeni kwa muda wakati tunambikiri Eiyer si eti eeh!

Mh!Wife kulikoni tena na gfsonwin!Huyo ataleta shida!
 
Last edited by a moderator:

Ngoja nije maeneo hayo,naweza nikapata zali!
 

Uko very right Kaunga. Wanaume wanawahukumu sana wananwake wakati nao wanafanya vivyohivyo. Yapo mapenzi ya dhati, mtu anatoka uzunguni nakwenda kulala chini uswazi, wapo pia wanaume wanaangalia kipato cha mwanamke tena sikuhizi ni wengi tu na ni kawaida.

Hapo kwenye shedi, hii inatokea sana mwanaume hujifeel inferior na kuwa na kukosa kujiamini. I had a boyfriend of such kind, nilimzidi kielimu, mshahara na hata upeo, iloved him truly and he loved me too. But sababu ya tofauti hii alijiona dhaifu, akawa na phyisical attack lastly nikafikia kukatisha mahusiano, tulikubaliana tuachane, lakini mwenzangu akoana nimemwacha kisa yeye ni maskini, he commited suiced, MAY HE RIP!. Niliapa kuwa na mahusiano na mwanaume aliyenizidi kila kitu, Umri kuanzia 5 and above, elimu, fedha na akili.
 

Mmmh leo dada yangu gfsonwin naona umeamua kumwaga yote kabisaaa, yaani nimeshindwa kuvumilia ingawa sijamalize kusoma comments zote, ila safi sana, it's good to be open and to have ur own principles!
 

Umenikonga moyo dada yangu wa moyoni.
 

Wanajifanya mi yangu tamu, najua kugonga hasa, kamaliza. Yanajidanganya eti wanawake wanapenda mkaka anayejua kugonga, yanabweteka yamemaliza, nyooo.
 
pole sana ndg yangu maisha ndivyo yalivyo..ila mi napenda kuwashauri wadada maana mwanaume kwa mwanamke anatakiwa awe na sifa 3 kuu.lakin mpaka sasa hajathibitika mwanaume mwenye kuwa nazo,wengi tuna moja walio bahatika 2.so ladies msi2tenge kihivyo jamani...uckate tamaa utampata mwenye kujua kuwa ufukara si ulemavu atakuelewa tu!
 
Wanajifanya mi yangu tamu, najua kugonga hasa, kamaliza. Yanajidanganya eti wanawake wanapenda mkaka anayejua kugonga, yanabweteka yamemaliza, nyooo.


sasa Remmy, hadi utukane?:sad::mod:
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…