mimi kwa mtazamo wangu hilo la hela wala si tatizo , wala kutokusoma! tatizo langu kubwa ni bikira yako tu! i need an expert one, ebo! Kaunga bikira ya mumeo bado hujafanikiwa kuitoa tu?? ebo!Usijali dada yangu najiamini sana na wala hilo sio tatizo kwangu.Inakuaje kama sina hela ya kujiendeleza?Unataka kuniambia sitapata mpenzi muda huu mpaka nisome?Jamani mambo gani haya?Maskini wataoa wapi na lini?
mimi kwa mtazamo wangu hilo la hela wala si tatizo , wala kutokusoma! tatizo langu kubwa ni bikira yako tu! i need an expert one, ebo! Kaunga bikira ya mumeo bado hujafanikiwa kuitoa tu?? ebo!
mbona mapenzi ya mkopo yapo we Eiyer huwa unaenda kuwatafutia mlimani city nini?watu wanapenda mwanaume kisa anamtreat vizuri pesa pembeni asikwambie mtu njoo huku tandale utawakuta wanaokopwa ujichukulie wa kwako hao wanaokupa headache achana nao hawakufai.
Ukweli ni kwamba, wanawake wengi mimi included tunataka mwanaume ambaye anakupenda na he can take care of you, financially na kimawazo na kimtazamo; hivyo basi tungeprefer au tunadream kuwa awe na uwezo kukuzidi (kama wewe unao any), elimu/uelewa wa mambo kukuzidi n preferable hata akuzidi walau miaka 2.
Ukipata unaye mzidi hivyo vyote juu, hata kama unanpenda kiasi gani, kama uelewa wake mdogo ndoa huwa na shida sana. Nami nimeshashuhudia my friends ambao ndoa zimevunjika coz mwanaume hajiamini na kuamua kuwa physical just
to prove yeye ndie man of the house.
I was in a sort of the same relationship, sikumzidi pesa, but elimu na mafanikio; siwezi rudia bora niwe peke yangu aisee!
Sikatai, kuna baadhi yetu tunakuwa na nyodo lkn ni wachache sana kuliko wanaume mnavyopenda kujiaminisha ktk story zenu kiasi kwamba mnaanza kujihami kwa ubabe usio na kichwa wala miguu.
Kuhitimisha nasema, wanawake hatupendi kudanganywa but tunahitaji mwanaume tunayeweza mtegemea!
shositito King'asti pana kitu kimoja ambacho huwa tunakisahau. achilia mbali mlitoka wapi na mko wapi sasa, la msingi ni tutaendeleza upendo na mapenzi yetu vipi? hilo ndo la msingi. na hapo ndipo penye mtihani haswa
mimi principle yangu nampa uhuru atakavyo na mimi nipewe uhuru nitakavyo let my conscious choose for me what to o and what not to do. ukianza kumchunga sana mwanaume hasa wakati mnapokuwa na neema ya maisha jua sasa ndio unampoteza.
wanaume walio wengi wanapenda wadharauliwe in terms of yaani wereva they do do not draw your attention to it. Dharau kisha ishi maisha yako safi, pendeza sana mno yaani hapa uwe nyoko kweli kweli. halafu timiza wajbu wako ndani nakwambia atachachawa lkn atarudi tu tena na mapenzi motomoto but ukiwa ni mtu wa kulia from morning to evening uso unanyorodoka hakika maisha ya ndoa yatakuwa msalaba ma dia. ngoja nikuandikie pm just a story of ma life you will understand what i mean
shositito King'asti pana kitu kimoja ambacho huwa tunakisahau. achilia mbali mlitoka wapi na mko wapi sasa, la msingi ni tutaendeleza upendo na mapenzi yetu vipi? hilo ndo la msingi. na hapo ndipo penye mtihani haswa
mimi principle yangu nampa uhuru atakavyo na mimi nipewe uhuru nitakavyo let my conscious choose for me what to o and what not to do. ukianza kumchunga sana mwanaume hasa wakati mnapokuwa na neema ya maisha jua sasa ndio unampoteza.
wanaume walio wengi wanapenda wadharauliwe in terms of yaani wereva they do do not draw your attention to it. Dharau kisha ishi maisha yako safi, pendeza sana mno yaani hapa uwe nyoko kweli kweli. halafu timiza wajbu wako ndani nakwambia atachachawa lkn atarudi tu tena na mapenzi motomoto but ukiwa ni mtu wa kulia from morning to evening uso unanyorodoka hakika maisha ya ndoa yatakuwa msalaba ma dia. ngoja nikuandikie pm just a story of ma life you will understand what i mean
nimekupa like si kwamba umepatia bali kwa kunikosha roho tu. Eiyer piga ua siyo wanawake wote siku hizi ni wabaya interms of hawapend kwa dhati. Wapo ila yakupasa umchague kwa makini na kwaku maanisha. tatizo lenu vijana wa leo mnabweteshwa na nani anajua kufanya matusi vizuri na huyu mkimpata mnaona mengine yatajisolve kumbe ni bora asiyejua utamfunza lakin awe na nidham nzuri na ueleewa wa maisha na hili limekuwa ni tatizo kwa vijana wote wa kike na wa kiume.
labda nikuulize Eiyer kuna umuhimu gani kuoa mtu anayejua kufanya matusi halafu hana nidhamu wala upendo wa kweli? si kweli kwamba matus peke yake ndiyo yanayojenga nyumba ni zaid ya hapo n yote waweza yatengeneza bali tabia ya mtu ni ngumu sana.
Hebu eleza,ni kwanini unataka hayo?
me binafsi i wish nipate mume anaenizidi kwa kila kitu. elimu,umri,pesa na umbo. dats all. . .
Hivi kumbe hilo ni tusi.
ameshasema yeye hakusoma.anathibitisha hilo kwa story yakeGazeti lote hilo(Hoja yako) kumbe ungeweza kuiandika ndani ya sentensi moja tu. jifunze kufupisha habari.
Yeah....tena la kimsuto msuto hivi.........:A S confused: