Kwahiyo = Kaka hebu simama nataka kuongea na wewe,unaitwa nani?unakaa wapi?kilasiku nakuona ukipita huwa moyo wangu unatamani japo nipate muda wakuongea nawe,sasa naweza baadae nikapata muda wa kukaa nawe sahemu tulivu japo tuongee mawili matatu
,duh Lidada hilo linamwaga seraaaa