Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

Wanawake wanaowatumia wanaume kingono

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,653
Hello guys

Kwa wale wanaume waosha rungu bila shaka mmeshakutana na wadada ambao ukimtongoza ni rahisi kweli kumpata. Baada ya kugegedana, anaku-dump au anakupotezea for no valid reason.

Unabaki kujiuliza what's this? coz kijamii imezoeleka kuwa baada ya ngono mwanaume ndo hum-dump mwanamke or wanaume ndo huwachezea/huwatumia wanawake kingono.

These girls hawakuombi hela wala nini, they are easy to get na wanachotaka toka kwako ni good sex bhaaasi. Hawa wadada wanakuwa hawana malengo ya kuolewa na wewe, kuzaa na wewe au atleast kuwa na mahusiano na wewe kwa muda mrefu.

Mimi nilikutana nao watatu na niliwasiriba haswa. Wazungu wanaita friends with benefits/casual sex

Though in my experience wadada kama hawa ni wachache, lakini they are much more better kuliko wale wanaokupiga vizinga.

Kuna wengine humu mshakutana na wadada kama hawa?
 
Hello guys

Kwa wale wanaume waosha rungu bila shaka mmeshakutana na wadada ambao ukimtongoza ni rahisi kweli kumpata, baada ya kugegedana, anaku-dump au anakupotezea for no valid reason..sasa unabaki kujiuliza whats this, coz kijamii imezoeleka kuwa baada ya ngono mwanaume ndo hum-dump mwanamke or wanaume ndo huwachezea/huwatumia wanawake kingono

These girls...hawakuombi hela wala nn, they are easy to get na wanachotaka toka kwako ni good sex..bhaaasi, hawa wadada wanakuwa hawana malengo ya kuolewa na wewe, kuzaa na ww, au atleast kuwa na mahusiano na ww kwa mda mrefu. Mm nilikutana nao watatu na niliwasiriba haswa..wazungu wanaita friends with benefits/casual sex

Though in my experience wadada kama hawa ni wachache, lakini they are much more better kuliko wale wanaokupiga vizinga..

Kuna wengine humu mshakutana na wadada kama hawa?
Imekuuma? Nawewe si utafute wa kumpiga chini
 
Back
Top Bottom