Neno kuwadi sijalitumia siku nyingi sana......
huyu si mshenga kweli????
Neno kuwadi sijalitumia siku nyingi sana......
kwani steve nyerere sio mshkaji wako? ndio haswaaaaaa jina lake, ndiye aliyemuuza mboni masimba kwa chif kiumbe! lol, yaani ni bonge la kuwadi sijapata kuona!