Katika kuishi kwako huenda kuna cku ilishawahi ingia call mpya kweny cm yako ikiomba uhusiano wa mapenzi either m/me or m/ke au ktk ambao walishawahi kukuPM ila ilipofika wakati wa kutimiza appointment yenu ya kwenda kuonana kila moja huwa na shauku yakumuona mwenzie akiwa na picha nzur ya figure na face yake lkn mwisho wa yote katika hii appointment ya kijasus mara nyingi wanawake ndo huwa figureless na faceless hv hii ktu kwanin ndo kwmb huwa mnajaribu kumpata bahati yenu ya kumpata hb ukajisifu na kupandsha GPA zenu kupitia mtu? wanawake hucken zaid hapa mawazo yenu yanahucka san