Eminem jr
JF-Expert Member
- May 21, 2018
- 2,006
- 4,617
Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso
huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level,
kuwaelewa ni ishu iliyowashinda hata wana
falsafa, Newton na uwezo wake wote linapokuja
suala la wanawake lazima atoke kapa na Manabii na
busara zao zote walishindwa kuwaelewa
wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa
akili.
huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level,
kuwaelewa ni ishu iliyowashinda hata wana
falsafa, Newton na uwezo wake wote linapokuja
suala la wanawake lazima atoke kapa na Manabii na
busara zao zote walishindwa kuwaelewa
wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa
akili.

