WANAWAKE waliong'olewa VING'AMUZI.

Ukasema ving'amuzi watu wanajua tigo au ndogo, kumbe we uko kuuuuuuule kwa Enzo za mwalim
 
hii mila ina maana kubwa sana, maneno ya mtoa mada hayana uthibitisho wowote
 
inawezekana yeye alikuwa anaamini amefika kileleni kumba hajafika kwasababu kilele chenyewe hata hakijui. siku akija kukijua ataelewa amepoteza muda mwingi sana kuamini kisicho.
 
sijakuelewa kuwa "kufika kileleni au la asingezaa?", hivi unafikiri kuzaa kuna uhusiano wowote na kufika kileleni?unajua hata ukimwagia tu hapo juu ya vulva mbegu zikapata mwanya wa kishimo mimba inatunga? tunachoongelea ni kufurahia tendo. ukikata tishu za clitoris umeondoa asilimia kubwa ya tishu zinazounganisha utamu. harage ni sawa tu na wewe unavyokuwa na penisi. ni sawa na wewe hapo wakukate penis alafu uambiwe utekenywe tu hisia zako zimebaki wapi sasa? kama vile wewe penisi inavyosimama na wao wakisisimka harage huwa linasimama na ukilitekenya linawaongezea mzuka na wanafika kileleni haraka kama vile wewe ukisugua penis unafika kileleni. msiwakate watoto wenu.

maeneo mengine ya ndani wanafika kileleni ila kwa kutumia muda mrefu sana, sasa inasemekana wanaume wa kufanya mapenzi muda mrefu hivyo sio wengi na waliopo huwa wanapunguza uwezo tu kadiri muda unavyoenda. pia ukiwa na harage, unaweza kumwaga sio mara moja, mara nyingi tu tofauti na huyo unayepambana amwage mara moja ili uondoke. ndani ya shambulizi moja kwa mwanamke akiwa na maumbile yake yote anawez akumwaga zaidi ya mara moja wakati mwanaume haujamwaga (kama unajua kujizuia).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…