Wanawake walioko kwenye 30s

-Hata mizinga hawapigi ovyo ovyo mpwa
-Hawezi beba mashosti kwenye appointment
-Anaelewa maisha yalivyo ukimwambia huna kitu mwelewa
-Hawana makuu, wavumilivu
-Wanajua kuthamini/kumjali mwenza.
iyo ya appointment inakera sana mtu anakuletea timu ya basketball kwenye appointment, mademu wengine bwana
 

kwahiyo erickb25 umeshaonja wote wa 20's na 30's maana kama una experience ya both sides...,
 
Last edited by a moderator:
Mi chichemi. Naweka Quote ya Rodriduez in "The Cid"ya Corneille:
Don Rodrigo:" Speak without exciting thyself. I am young, it is true; but in souls nobly born valor does not depend upon age"
 
na wao walipitia huku 20's ko nasi tukikua tutakuwa na character hizo hapo juu..

jaman ila mi nilikuwa nahis naenjoy sex ile mbaya kumbe kuna miaka nikifika ntafurahia
zaidi.I cant wait for my 30's

++
Heaven on earth
Under 30s??+!!
++
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuongezea binamu, ni wawazi, wana-keep appointments, wasafi na pia hawa-deki deki kijinga, na zaidi hata gharama muwapo kwenye mtoko wanaweza kuchangia! Wanawakubali sana kwa ujumla!

Kweli kabisa, kama ana dharula anakutaarifu mapema "...dear kuna mgonjwa amezidiwa tunamwaisha hospital saizi, nivumilie nikutoka hospital...." wewe unakuwa na amani huna hofu kabisa

Mpwa Fidel80 apo tupo ukurasa mmoja....hasa apo.lwen uvumilivu panahusu sana.

Yeah walisha vuka milima na mabonde wanavumilia shida na raha, wapo radhi washindie mihogo au sumu na misumari ili mpenzi wake apige Kinana japo mbili.
 
Nimegundua kwa nini wanaume wengi hupendi kutafuna wake za watu kwa kupenda miteremko ya aina hii

Siyo miteremko mkuu, ishu watu wanaogopa kutembe an amwanamke ambaye ndo kwanza anasaka mtu wa kumuoa au anasaka mtoto, hakuna kitu kizuri kama kustarehe na mtu mzima mwenzako
 
Dah sijawahi kuwa nao! Ngoja niongezeke kidogo kumbe kuna wanawake wazuri huko nakoenda...!
 
iyo ya appointment inakera sana mtu anakuletea timu ya basketball kwenye appointment, mademu wengine bwana

Hahahaha anakuja na wapambe 4 yeye wa 5 wapambe wanakunywa Heineken, whiendok, Savana, Mtakatifu Anna mara dear tunataka kiti moto kilo 5 na kuku wawili bila kusahau chipsi kavu sahani 5.
 
KUINJOI Sex kunahusisha sana BODY and MIND .ni kweli umri huo majority ni wazoefu Hawana stress za shule, pressure ya kuchagua saaana inakuwa imepita, wanaexperience za relationship, angalau wanaufahamu wa mimba na magonjwa, woga wa kufanya maamuzi kwa hofu ya wazazi unakuwauimepungua, viungo vyao vya uzazi vinakuwa vimekomaa.
 
tunafaidi sana sisi wa 30's wengi wetu tunatulia na wenza wetu na kwa asilimia kubwa for the rest of our life tunafia kwenye LIBOLO hili hilo limoja hatutafuti nyingine kama uko stress free zone .

Usiseme kwa sauti wakisikia wanazi wa Msimbazi watakutoa nduki.
 
na wao walipitia huku 20's ko nasi tukikua tutakuwa na character hizo hapo juu..

jaman ila mi nilikuwa nahis naenjoy sex ile mbaya kumbe kuna miaka nikifika ntafurahia
zaidi.I cant wait for my 30's
hakuna lolote huku ...yale yale..eti hakuna mizinga ? nani kasema....mizinga hadi kiama
 

Well written kaka Kaiza, na mimi natia timu:

  1. Wana Confidence la kufa mtu na ni waelewa sana
  2. Na wanakata issue za ukweli sambamba na wewe.
  3. Ni marafiki genuine na washauri wa maana
  4. Hwalii lii kutaka unnecessary sympathy
  5. Wanajiheshimu

Shida yao ndogo wengine nyama uzembe kibao na vitambi visivyo na tija!
 
Last edited by a moderator:
Umenena ukweli mkuu...kawaida mwanamke wa 20s+ anakuwa na matarajio makubwa sana kimaisha akiutazama uzuri, elimu au chochote tofauti alichopewa, ila akifikia 30s+ anakuwa na uzoefu wa kutosha na anatamani maisha ya kujipa raha zaidi ndiyo maana anabadili mfumo wa maisha kutoka msichana binti mdogo hadi binti mtu mzima.
 
Nimegundua kwa nini wanaume wengi hupendi kutafuna wake za watu kwa kupenda miteremko ya aina hii

Hahaja El Toro unadhani ni miteremko in that sense? Mi nadhani ni kutaka kupata kile unachotaka....iwe mwanamke au mwanaume...or any rational individual for that matter
 
Last edited by a moderator:

Hahaha hapo kwen ufundi naweza kukuhakikishia walioko kwen 30s ndo wenyewe. Hapana chezeya mwenye lengo la kupata utamu...

Dogo kumbe bado mweupe eeh?
 
Last edited by a moderator:
Nimegundua kwa nini wanaume wengi hupendi kutafuna wake za watu kwa kupenda miteremko ya aina hii
siyo mteremko ila watu wanataka uhalisia wa maisha , huwezi kukaa na mtu kila mnapokutana mara njaa inauma mara saloon, bora awe anafanya hivyo kwako tu, utakuta amewapanga msururu, wote mnafanya kazi ya kumchangia yeye tu , ukifikiria ana mchango gani kwenye maisha yako jibu ni hapana, siku hizi hachunwi mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…