Wanawake walioko kwenye 30s

Wanawake walioko kwenye 30s

Kaizer

Platinum Member
Joined
Sep 16, 2008
Posts
25,329
Reaction score
17,855
Wanajamvi habarini za weekend?

Kwa uzoefu wangu wa miaka mingi na kupitia.majarida mbali mbali, ni maoni yangu kuwa wanawake walioko kwenye 30s kimapenzi:

1.ni wazoefu maana wameshapitia mengi
2.ni rahisi kufika kileleni maana wako a bit free..wameshajiestablish kimaisha nk
3. Kutokana na 2 apo juu wanafurahia zaidi tendo la ndoa
4.ni waelewa sana..sio nagging, kifupi wamekua.
5.ni wasafi, wanavutia sexually.

Sasa hii ni kulinganisha na wenzao teenagers na walioko kwen 20s.

Ni mtazamo wangu tu.labda kwa vile mimi nipo kwen late 40s😉

Sijui wengine mnaonaje....ruksa kuongeza.

Cc: Mtambuzi Asprin The Boss MziziMkavu KakaKiiza Baba V Sandeni Judgement Erickb52 Arushaone Filipo Nicas Mtei Mtoto halali na hela Bishanga

Bcc: gfsonwin cacico lara 1 AshaDii amu snowhite Madame B ladyfurahia charminglady KOKUTONA Passion Lady Zahra White Ray b BADILI TABIA Kongosho King'asti Heaven on earth sweetlady mimisa Graca marejesho Arabela mandenyi The secretary
 
Last edited by a moderator:
mmmh! @swtlo
mada kama hii uiletage week end mweeh! sasa hapa unataka niseme nini jamani????

Lakini naomba niongeze kitu hapo, kwamba uliyosema ni kweli kabisa hilo halina upinzani ila tu kuna jambo moja umesahau ama napenda niliongezee hapo.

itatokea akafurahia zaid tendo la ndoa/ngono iwapo hana any external disturbing factor like, asiwe hajaolewa na ana crive for getting married, asiwe hajapa mtoto and anatamani kweli kupata mtoto mambo haya mawili nimiongoni mwa factors ambazo huwafanya wanawake wa umri huo kushindwa kufurahia but kama hapo kavuka ukweli huwa anafaidi sana kunako 6*6.
 
Wanajamvi habarini za weekend?

Sasa hii ni kulinganisha na wenzao teenagers na walioko kwen 20s.

Njema sana mpwa Kaizer, Hongera sana kumchezesha LIBOLO Simba wa Kariakoo
Niende moja kwa moja kwenye hoja, hawa wanawake walioko 20s wapo katika kuhangaika, vitu vingi vinawahangaisha maisha na mapenzi, kwa hiyo umri huo ni kama mpishi ataonja pishi hili ataonja lile kama chumvi imekolea nao hivyo hivyo kwenye mapenzi atapenda nene, ndefu, fupi zote hizo atataka aonje mpaka apate kitu kipenda roho, atapenda awe na maisha mazuri, gari nzuri anahangaika apate mtu mwenye fadha ili amtimizie matakwa yake akidanganywa kuwa vibabu vinahonga basi atajilengesha kwa vibabu, akisikia vizungu vibabu vina pensheni vinatafuta vigori vya kula navyo maisha basi atakuwa anavipigia rada na kujipitisha pitisha kwao ili anase. Wakisha fika 30s sasa hapo anakuwa amekomaa kama kutendwa ametendwa sana kama kuchuna amechuna sana sasa anakuwa sugu hababaishwi na chochote.
 
Last edited by a moderator:
-Hata mizinga hawapigi ovyo ovyo mpwa
-Hawezi beba mashosti kwenye appointment
-Anaelewa maisha yalivyo ukimwambia huna kitu mwelewa
-Hawana makuu, wavumilivu
-Wanajua kuthamini/kumjali mwenza.

Mpwa Fidel80 apo tupo ukurasa mmoja....hasa apo.lwen uvumilivu panahusu sana.
 
Last edited by a moderator:
mmmh! @swtlo
mada kama hii uiletage week end mweeh! sasa hapa unataka niseme nini jamani????

Lakini naomba niongeze kitu hapo, kwamba uliyosema ni kweli kabisa hilo halina upinzani ila tu kuna jambo moja umesahau ama napenda niliongezee hapo.

itatokea akafurahia zaid tendo la ndoa/ngono iwapo hana any external disturbing factor like, asiwe hajaolewa na ana crive for getting married, asiwe hajapa mtoto and anatamani kweli kupata mtoto mambo haya mawili nimiongoni mwa factors ambazo huwafanya wanawake wa umri huo kushindwa kufurahia but kama hapo kavuka ukweli huwa anafaidi sana kunako 6*6.
gfsonwin lol kwa nini nilete weekend watu si watakiwa wamelewa tayari duh

Ila apo kwen ndoa na.mtoto.nimeassume kuwa hizo sio issue zinazomsumbua cos kuna wengine wanakuwa hawana vyote na hawana wasi wasi they just live their life
 
Last edited by a moderator:
Kaizer mi nahisi hayo mengi yanatokana na mdada mwenyewe....yan kuna wengine wakiwa kwenye shughuli wanakuwa macho juujuu km tochi...unadhani atafika kileleni?
Kuna wadada wana pozi bhana yan akiguswa tu kalegea lol
Umri haumati sana.
Tatizo la 20s wanatakaga kujifanya mafundi lol wanaishia kumridhisha mwanaume tu (Na ndio lengo lao)
Ila kwa 30s wao lengo lao huwa ni mautamu tu.
 
Last edited by a moderator:
nikupe hongera kwani umegusia mambo muhimu sana kwa wanawake wa age hiyo kwani wengi wao ni wavumilivu, waelewa na wenye subira sana na ni watoaji kwelikweli wakisema kuwa anakupenda ujue its true kabisa sio wanafiki

N:B: Kweli mmeamua kutuongelea sisis sana, nanyamaza nikija tena hapa nakuja na kitu kipya kwa ajili ya WANAUME
 
gfsonwin lol kwa nini nilete weekend watu si watakiwa wamelewa tayari duh

Ila apo kwen ndoa na.mtoto.nimeassume kuwa hizo sio issue zinazomsumbua cos kuna wengine wanakuwa hawana vyote na hawana wasi wasi they just live their life
ndio maana nikasema kama yuko free from externalities.

lakini swtlo tujadili kidogo juu ya nini huwafanya wawe jinsi walivyo??

ni kwamba mara nyingi sana huwa wako tu ni watu wa kujiachia sana kwamba hawana disturbance za achievements. ukiangalia at that age wengi huwa tayari wana ndoa ama hata kama hana ndoa basi huwa na mtu ambaye anajua akimuhitaji atampata tu. istoshe hata kama ana cheat na mume wa mtu hujikuta kwamba hacheat kwasababu ya vitu anavyovikosa kama vile ambao wako at 20's wanavyofanya. mara nyingi mwanamke wa 30+ akijichanganya ni kwasababu anataka na si kwasababu ana shida iwe ya pesa ama nyumba ama gari etc.

na kuna jarida moja la kenya nilikuwa nalisoma hapa limeandikwa na mombasa raha kwamba wanawake wa 30+ huko kenya ndio wanaoongoza kuwa na soko kubwa zaid la wenzi wa nje ya ndoa na kwamba wako free sana kwenye kujiachia. wamesema sababu kubwa ni kwamba hawa wa 20"s wako na macho mawili mawili sasa watu wazima wenye heshima zao huwatafuta hawa mabao ni watu wazima zaid wanatoka nao kwa usiri mkubwa sana, na sio too demanding.

to me mwanamke wa 20's mwache a explore hadi akinai kabisa ili akifika 30+ ajue anataka kufanya nini ama anategemea kufanya nini.
 
Back
Top Bottom