prado
JF-Expert Member
- Feb 7, 2015
- 216
- 130
Ni kwa sababu wnawake walikuwa hawapenyi kwenye kada zingine.......af Magufuli ye mwenyewe mwalimu ulitegemea aoe engineer?
Hahahahaha..... It's real good morning!!
Ni kwa sababu wnawake walikuwa hawapenyi kwenye kada zingine.......af Magufuli ye mwenyewe mwalimu ulitegemea aoe engineer?
Ukienda ualimu ukirudi unijulishe nije kukuoa
Hahaha nataka, au basi ntakusomesha ili uwe mwalimu maana waume wa walimu wanaonekana wanabahati sana na kile kitiKhaaaaah!! Acheni unyanyapaa jamani, kwani we hutaki jobless??
Habari wadau,
Hivi ni kweli walimu wanawake ndio watu sahihi kwenye ndoa tukiangalia mifano ya ma rais wengi africa wake zao ( first ladies ni former teachers).
Mfano Sitti Mwinyi, Salma Kikwete, na sasa Janet Magufuli, na hata nchi jirani wake wa maraisi wengi ni former teacher kama mke wa Kagame, etc?
Hata mgombea aliyekatwa na kusababisha masononeko inasemekana mke wake ni mwalimu yaelekea walimu hawawapi stress wanaume zao na kuwafanya wafikie malengo yao?
Hata watu wengi waliofanikiwa kibiashara, kiuchumi, wake zao walimu
Hahaha nataka, au basi ntakusomesha ili uwe mwalimu maana waume wa walimu wanaonekana wanabahati sana na kile kiti
Yuko wapi huyu maana sijamsikia siku nyingi, au yeye hausiki na ujumbe wa halmashauru za chama na hata ubunge!?Mfano Sitti Mwinyi, Salma Kikwete, na sasa Janet Magufuli, na hata nchi jirani wake wa maraisi wengi ni former teacher kama mke wa Kagame, etc?
Habari wadau,
Hivi ni kweli walimu wanawake ndio watu sahihi kwenye ndoa tukiangalia mifano ya ma rais wengi africa wake zao ( first ladies ni former teachers).
Mfano Sitti Mwinyi, Salma Kikwete, na sasa Janet Magufuli, na hata nchi jirani wake wa maraisi wengi ni former teacher kama mke wa Kagame, etc?
Hata mgombea aliyekatwa na kusababisha masononeko inasemekana mke wake ni mwalimu yaelekea walimu hawawapi stress wanaume zao na kuwafanya wafikie malengo yao?
Hata watu wengi waliofanikiwa kibiashara, kiuchumi, wake zao walimu
Habari wadau,
Hivi ni kweli walimu wanawake ndio watu sahihi kwenye ndoa tukiangalia mifano ya ma rais wengi africa wake zao ( first ladies ni former teachers).
Mfano Sitti Mwinyi, Salma Kikwete, na sasa Janet Magufuli, na hata nchi jirani wake wa maraisi wengi ni former teacher kama mke wa Kagame, etc?
Hata mgombea aliyekatwa na kusababisha masononeko inasemekana mke wake ni mwalimu yaelekea walimu hawawapi stress wanaume zao na kuwafanya wafikie malengo yao?
Hata watu wengi waliofanikiwa kibiashara, kiuchumi, wake zao walimu
Twende ualimu shost, maana kila siku humu naona mada ni walimu tu, sie wengine majobless sijui ndio tuko kundi gani!!!