shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,337
Habari wadau,
Hivi ni kweli walimu wanawake ndio watu sahihi kwenye ndoa tukiangalia mifano ya ma rais wengi africa wake zao ( first ladies ni former teachers).
Mfano Sitti Mwinyi, Salma Kikwete, na sasa Janet Magufuli, na hata nchi jirani wake wa maraisi wengi ni former teacher kama mke wa Kagame, etc?
Hata mgombea aliyekatwa na kusababisha masononeko inasemekana mke wake ni mwalimu yaelekea walimu hawawapi stress wanaume zao na kuwafanya wafikie malengo yao?
Hata watu wengi waliofanikiwa kibiashara, kiuchumi, wake zao walimu
Hivi ni kweli walimu wanawake ndio watu sahihi kwenye ndoa tukiangalia mifano ya ma rais wengi africa wake zao ( first ladies ni former teachers).
Mfano Sitti Mwinyi, Salma Kikwete, na sasa Janet Magufuli, na hata nchi jirani wake wa maraisi wengi ni former teacher kama mke wa Kagame, etc?
Hata mgombea aliyekatwa na kusababisha masononeko inasemekana mke wake ni mwalimu yaelekea walimu hawawapi stress wanaume zao na kuwafanya wafikie malengo yao?
Hata watu wengi waliofanikiwa kibiashara, kiuchumi, wake zao walimu