MJINI CHAI JF-Expert Member Joined Dec 12, 2010 Posts 2,202 Reaction score 1,229 Apr 10, 2014 #21 The Unknown said: Wanawake kwa kutongoza hawajambo,hata ukimpa kaz mwanamke akutongozee mwanamke mwenzake,hachukui raudi kamleta geto wakati ingeweza kumchukua mwanaume hata raudi 30 kumteta geto. Click to expand... Moyo wa mwanamke una mapenzi zaidi kuliko wa mwanaume hivyo si ajabu mwanamke kutongoza..............
The Unknown said: Wanawake kwa kutongoza hawajambo,hata ukimpa kaz mwanamke akutongozee mwanamke mwenzake,hachukui raudi kamleta geto wakati ingeweza kumchukua mwanaume hata raudi 30 kumteta geto. Click to expand... Moyo wa mwanamke una mapenzi zaidi kuliko wa mwanaume hivyo si ajabu mwanamke kutongoza..............
Tyta JF-Expert Member Joined May 21, 2011 Posts 12,767 Reaction score 10,539 Apr 11, 2014 #22 lee van cliff said: unalijua hilo.wajua zaidi hutongozaje.ni kwa kutumia .body language. hapa wanaume wengi hawachomoi. Click to expand...
lee van cliff said: unalijua hilo.wajua zaidi hutongozaje.ni kwa kutumia .body language. hapa wanaume wengi hawachomoi. Click to expand...
J Joel360 JF-Expert Member Joined Sep 21, 2013 Posts 986 Reaction score 657 Apr 25, 2015 #23 hili ndio kwanza nalisikia leo