MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,202
- 1,229
Moyo wa mwanamke una mapenzi zaidi kuliko wa mwanaume hivyo si ajabu mwanamke kutongoza..............Wanawake kwa kutongoza hawajambo,hata ukimpa kaz mwanamke akutongozee mwanamke mwenzake,hachukui raudi kamleta geto wakati ingeweza kumchukua mwanaume hata raudi 30 kumteta geto.