Wanawake wa staili hii, wanakera mno

Wanawake wa staili hii, wanakera mno

Hivi mwanamke unamtongozaje hadi anakukubalia?

Katika kukubalia huko anasemaje?

Anakwambia 'ndiyo'?

mkuu kasema kabisa kuwa naye ANANIPENDA, but nashangaa jinsi anavokuwa haeleweki!
 
demu wiki ya kwanza akikataa kuja geto nampotezea
 
Upande wa spray utajuaje hiyo utakayonunua itam-rock?

Vipo vitu standard kwa watu wanaojua maana ya vitu hivyo kuanzia designers mpaka harufu zake, kama mjuzi ukimpa kit say ya Victoria's secret , Marry Kay, Japanese Cherry (Blossom- signature collection) havuki matuta ya size hiyo. . . .
 
Kwakua umemtongoza kakubali, mtafutie timing donoa kisha bwaga haraka
 
Vipo vitu standard kwa watu wanaojua maana ya vitu hivyo kuanzia designers mpaka harufu zake, kama mjuzi ukimpa kit say ya Victoria's secret , Marry Kay, Japanese Cherry (Blossom- signature collection) havuki matuta ya size hiyo. . . .
Asante mkuu.
 
Kama hakukumbuki we kila siku mtafute tu si unampenda. . . . .maadam ana haraka kila siku nawe akija usiweke kambi mnunulie kinywaji akimaliza tu aga mwambie u just wanted to see her. . . . . .Kwenye simu we salimia tu baaaas kama mzima shukuru mtakie siku njema. . . . . . .

Kaa kwa siku kadhaa mnunulie set ya shower gel, splash na spray kama una gari tembea nazo tu siku ukimwita "kumsalimia" usishuke kwenye gari mkaribishe akae kiti cha abiria mwambie ulipenda kumuona kama kapendeza msifie kama hajapendeza usimdanganye. . . . mpe gift yake agana naye. . . . .

Punguza mawasiliano kama anakupenda kweli she will come for you ukiona kimya achana naye atakuumiza tu kichwa . . . . . .Bait for a better fish
Duuuuu!mtihani,hayo yote unakuwa huna kazi nyingine za kufanya???
 
nani afanye ujinga huo yaani nipasuke hela halafu mwisho wa siku unitelekeze bila hata ya kukujua unafikiri hatuwajui usaliti wenu kwenye mapenzi
Papuchu hadi NDOA kwani ni bikira?kama mwanamke yupo bikra naweza kubali,tena bikra iliyopimwa na kuthibitishwa na Daktari.Sio umeshagawa huko hafu inaleta habari za kusubiri hadi ndoa.
 
Kwani mwanamke akikupa ndo anakupenda?vuta subira kijana mambo mazuri hayataki haraka tatizo lenu nyie tukishawapa papuchi dharau zinaanza na muda mwingne mnakimbia kabisa ,siku zote mwanaume unayempenda usimpe papuchi mpk ndoa akivumilia huyo ndo Mr.right uliyekuwa unamsubiri

Mwee! Yaani nikuoe sijaonja mzigo! Hiyo biashara ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia siitaki
 
Kwani mwanamke akikupa ndo anakupenda?vuta subira kijana mambo mazuri hayataki haraka tatizo lenu nyie tukishawapa papuchi dharau zinaanza na muda mwingne mnakimbia kabisa ,siku zote mwanaume unayempenda usimpe papuchi mpk ndoa akivumilia huyo ndo Mr.right uliyekuwa unamsubiri
Kwa utaratibu huu mi unanipoteza
 
Back
Top Bottom