kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Leo ndo nimeamini kweli siku hizi akuna mapenzi ya kweli tena. Wanawake wengi wana penda pesa saana
Nilikuwa na mwanamke wangu ambaye. Nilifikiri ana ni penda saana kumbe mwenzenu nilikuwa na pigwa na kitu kizo. Mwanamke kumbe alikuwa ana ni penda au ni seme alikuwa na mimi kwasababu nilikuwa na mpa pesa tu last week niliongeya naye kuhusu mambo ya kuoana mimi na yeye alifurahi saana.
Nikasema mke apa nimepata. Mambo yakaja kuaribika niliposema tu kuwa nataka kubana matumizi. Kauli hiyo sijui mtoto wakike alichukuliaje. Mpaka sasa hivi nina wiki moja sijui kuongea naye. Na alikuwa hawezi kulala bila kuonana na mimi au kuongea na mimi kwenye simu mtoto amebadirika gafla
Hataki tena kuongea na mimi. Mapenzi siku hizi ni ajira kwa hawa wenzetu wanaume wenzangu kuweni makini
Nilikuwa na mwanamke wangu ambaye. Nilifikiri ana ni penda saana kumbe mwenzenu nilikuwa na pigwa na kitu kizo. Mwanamke kumbe alikuwa ana ni penda au ni seme alikuwa na mimi kwasababu nilikuwa na mpa pesa tu last week niliongeya naye kuhusu mambo ya kuoana mimi na yeye alifurahi saana.
Nikasema mke apa nimepata. Mambo yakaja kuaribika niliposema tu kuwa nataka kubana matumizi. Kauli hiyo sijui mtoto wakike alichukuliaje. Mpaka sasa hivi nina wiki moja sijui kuongea naye. Na alikuwa hawezi kulala bila kuonana na mimi au kuongea na mimi kwenye simu mtoto amebadirika gafla
Hataki tena kuongea na mimi. Mapenzi siku hizi ni ajira kwa hawa wenzetu wanaume wenzangu kuweni makini