Wanawake wa sasa bila UBABE hawaendi

Wanawake wa sasa bila UBABE hawaendi

Ukitaka arudi kwenye mstari wewe nunua gunia tatu za mkaa na mafuta ya taa,kisha kaa kimya tu uone kama atakuletea dharau!!!
Dharua kaona pengine huna pesa ya kununua gunia mbili
 
Wanaume wengi wa kiafrika tunafel sana kuendekeza uzungu kwenye mahusiano ,kiukwel me nakumbuka mzee wangu alikuwa anaheshimika sana na bimkubwa coz mzee alikuwa kati kati sometime romantic mda mwingi cruel, me nimeshuhudia sana bimkubwa akipigwa biti Kali na mzeee na bimkubwa kimya zaid atatafuta njia ya kujikomba kwa mzee hata km mzee ndie mwenye kosa .So nilichogua siku izi ndoa hazidumu sabab ni kwamba hawa viumbe wamepewa sana Uhuru na ndio maana hawaon ajabu kujibizana na mwanaume na hili mitandao imeharibu kila kitu yaan wanajiona wako sawa na mwanaume wakat ukweli ni kwamba mwanaume atabak kuwa mwanaume tu na ndie kichwa cha nyumba,so ili kuwa na ndoa nzur kabla hujaoa jaribu kupima upepo kwa kuwa katikat yaan MTU ambae huelewek sometime unakuwa mkali siriaz muda mwingine romantic ukiona anaendana na hiyo hali oa ,ukiona kibri nakushaur achana nae haraka,yaan mwanamke mnakorofishana anavimba hatak kujishusha wala hashtuki hata kidogo huyo usioe
 
Wanaume wengi wa kiafrika tunafel sana kuendekeza uzungu kwenye mahusiano ,kiukwel me nakumbuka mzee wangu alikuwa anaheshimika sana na bimkubwa coz mzee alikuwa kati kati sometime romantic mda mwingi cruel, me nimeshuhudia sana bimkubwa akipigwa biti Kali na mzeee na bimkubwa kimya zaid atatafuta njia ya kujikomba kwa mzee hata km mzee ndie mwenye kosa .So nilichogua siku izi ndoa hazidumu sabab ni kwamba hawa viumbe wamepewa sana Uhuru na ndio maana hawaon ajabu kujibizana na mwanaume na hili mitandao imeharibu kila kitu yaan wanajiona wako sawa na mwanaume wakat ukweli ni kwamba mwanaume atabak kuwa mwanaume tu na ndie kichwa cha nyumba,so ili kuwa na ndoa nzur kabla hujaoa jaribu kupima upepo kwa kuwa katikat yaan MTU ambae huelewek sometime unakuwa mkali siriaz muda mwingine romantic ukiona anaendana na hiyo hali oa ,ukiona kibri nakushaur achana nae haraka,yaan mwanamke mnakorofishana anavimba hatak kujishusha wala hashtuki hata kidogo huyo usioe

HAKIKA MKUU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom