Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Tuacheni sisi na Njombe yetu.
Tuacheni sisi na Njombe yetu.
Kwa uzoefu wangu, hata wanawake wengi wa Kinyakyusa wana ndevu.
Hata Wachagga nimeona pia.
Ila, interestingly, mwanamke mwenye ndevu, kila afanyacho anafanikiwa sana.
Wanawake wenye ndevu wana mafanikio sana, na wapambanaji.
Sijawahi kuona mwanamke mwenye ndevu akawa masikini.
Hata akilima mboga tu anajenga nyumba.
Hata akilima mboga tu anajenga nyumba.
Ila wanawake wengi wanaotumia madawa ya kujikoboa ngozi Wana Hilo tatizo