Wanawake wa kitanga watamu jamani

Wanawake wa kitanga watamu jamani

Huyu naye we mtu wa wapi kwanza unaeweweseka na tanga land hiyo kawaida tu
 
Hivi ni kweli wanaosema tanga yale mambo yetu yanapatikana bila tabu(0712)?
 
Nimebahatika kuoa mtoto wa kitanga.mapenzi ninayopewa acheni jamani.wanajua nyakati za shida na raha.Oeni Tanga jamani mufurahie maisha.

Njoo zanzibar uwone, kama unakuja na jahazi litazama nchi kavu, ukitaka shida owa mombasa Kenya, utalia.
 
Mi nimeoa Mmeru jamani..... Ananipenda mpaka anaumwa........ Naenjoy kuanae
 
Hahaha,dont take it serious bhana..travolta za valiwa ngerengere au 521KJ, 511KJ, KU ama wapi?😂

Haha travolta zinavaliwa shambani mkuu si unajua tena Mimi ni mfuga mbwa
I never took it serious man besides u are way too right
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom