Wanawake wa kinyaturu!

Kaoe2 ndugu kwakua ckuhizi Hatupelekwi Appolo India kazi inamalizwa hpa hpa Mhumbili JKCU, hilo kabila ni zaidi ya maharage ya mbeya hauitaji kua na kuni Gazeti2 ukiwa nalo unaivisha na kula,
Sawa boss
 
Kaoe mkuu. Ila kikubwa ridhika na tabia yake yeye.
Wakwangu yuko vizuri sana hadi kichwani. Ninae tunaelekea mwaka wa 4 wa ndoa sasa.
 
Hizi mada siku hizi zimejaa humu hivi mnaoa kabila au mwanamke
 
Kaoe sura mkuu lakini uwe mvumilivu wa tabia
Wale wenyewe uelewa na wanawake wakinyaturu waje hapa nawazia nikaoe huko napatikana mkoa wa lindi. Tahadhari kejeli hazihitajiki ukiwa hauna comment pita tu kwenye huu uzi.
 
Hilo la kukataa kuwa na namba za ndugu ni kweli...
 
Haya ndiyo niliyosema!! Wahuni kama huyu lazima waanzishe genge jirani na kwako! Na kujifanya wanakuheshimu sana kumbe! Wannakusanya data za muda wako wa kutoka na kuingia home!
Mkuu mimi ni raia mwema kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…