kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 151
Kumekuwa na taarifa za siku nyingi kuwa mabinti wa Kinyalu wanapotafuta wachumba huwa wakarimu kupitiliza na si rahisi ukiingia mtegoni kuchomoka hadi ndoa inajibu. Lakini baada ya siku chache hubadilika kiasi cha wewe kuhisi labda wamekubadilishia mke. Tena huwa wabaya zaidi kama atajiweza kujitafutia angalau ugali kwa mlenda kwa siku na chupa moja ya ulanzi.
Sina maana ya kugeneralize lakini nasikia hawa karibu wote. Kati ya mia safi 2 tu, hivyo uwezekano wa ku draw bad card ni 98%, confidence interval 2% only.
Kuna misemo kama bint zetu wa Bukoba ndiyo kama vile, wapare ndio usiseme na Wanyakyusa ndiyo maharage ya nyumbani. Kwa makabila haya si rahisi kugeneralize kwa sababu sio wote. Lakini wanyalu ni hatari kama wanavyodai. Pia, kuna habari kuwa ndoa nyingi zinazoyumba nchini, 98% ni za mke Mnyalu.
Wajuzi tufunueni macho maana na sisi vijana tunataka kuchukua jumla na hapa tulipo wanyalu ndio wengi, tusaidieni.
Sina maana ya kugeneralize lakini nasikia hawa karibu wote. Kati ya mia safi 2 tu, hivyo uwezekano wa ku draw bad card ni 98%, confidence interval 2% only.
Kuna misemo kama bint zetu wa Bukoba ndiyo kama vile, wapare ndio usiseme na Wanyakyusa ndiyo maharage ya nyumbani. Kwa makabila haya si rahisi kugeneralize kwa sababu sio wote. Lakini wanyalu ni hatari kama wanavyodai. Pia, kuna habari kuwa ndoa nyingi zinazoyumba nchini, 98% ni za mke Mnyalu.
Wajuzi tufunueni macho maana na sisi vijana tunataka kuchukua jumla na hapa tulipo wanyalu ndio wengi, tusaidieni.