mhhh!!!!!
sjui km kweli bt wote niliowashuhudia kwa majiran na marafiki ni kwamba WANAUME WA KINYAKYUSA WANAPENDA SANA UDUMELISM..yaan kushurutisha tu ..anataka aexercisse udumelism ata kwa mtoto wa miaka 2... ukifanya kitu kdg tu anajihisi UMEMDHARAU,,,yaan full mashtukio
Kwa yeyote mwenye kufahamu tabia zao,watu hawa anijuze.Please!
moto.... Kupiga nondo...... Kuchuna ngozi...... Biashara...... Uchakarikaji...... Utajiri
Wanawake wa Kinyakyusa wengi ni wababe sana na kwa wale wasio na kazi/elimu wakija town kazi wanayotaka ni u-bar maid, hata ukichukua house girl haichukui mwezi keshakimbialia bar.
Wanaume wao wanapenda mfumo dume sana and they are so arrogant.
In general Wanyakyusa hawatofautiani sana na Wahaya; arrogance, tharau, ubinafsi; Sorry kama nimeoffend Mnyakyusa yeyote humu but thats my experience nimesoma na wanyakyusa , ukimwomba mnyakyusa kitabu atakupiga chenga ili mradi asikupe na ampe mwenzie hata asiyehitaji.
Acha kudanganya watu wewe ni kabila gani ambalo halina wahalifu?kila kabila lina mazuri na mabaya yake
acha uongo_kila mtu lazima achukua nafasi yake...baba ni kichwa cha familia imeandikwa
kabila is irrelevant kwa uchaguzi wa kitu chochote, tabia ni ya mtu binafsi, halafu hayo mambo ya kuulizia kabila flani yamepitwa na wakati.
kwan nimekataa wanaume wasiwe kichwa cha nyumba?
unless othwise unambie AUJANIELEWA NIMEMAANISHA NINI JUU YA UDUMELISM...thats wanaume wa kinyakyusa wanapenda sana udumelism..
washari km wanawake wa kihaya...THOU I HATE GENERALIZATION BT MAJORITY NDO WAPO IVO..sjui kwa vile wana maumbo makubwa...nishawai kupanga nyumba moja na wahaya then wanyakyusa wana swaga flan ivi za kibfu bifu wanapenda kuwa kiongoi/msemaji mkuu/director ata km akil yake inamfaa awe mfagizi au mlinda geti...WENGI WAO WASHARI..then si wachoyo wa ile MAMBO....AFU WANAPENDA MAFAGIO ao acha tu
m ready 4battle.
Rose Muongozo hapo kwenye nyekundu.
proud kyusa hata msemeje,na hakuna madem wanajiheshimu na kuchakarika tz km kyusa.kaoe mchaga au mrangi ujute kuzaliwa
wa kiume watamu sana!
bora wanawake wa kichaga wapumzike sasa.
Rose Muongozo hapo kwenye nyekundu.
sio kwenye nyekundu tu,yaani muongo mwanzo-mwisho
nimekuelewa sana...ila nafikiri wewe ni mwanamke unayependa kuendesha familia kwa matakwa yako