nywele homwongea mwanamke umbea zaidi hivyo wao wameamua kuziondoa ili kuongeza muda wa kazi zaidi, unafikiriaje wangekuwa na nywele za kusukana na kazi wanazofanya za kuuza dawa asili? wanaume wanaposukana wanakuwa wanachunga ng'mbe huku wakijadiliana namna ya kubolesha mifugo yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.