Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,375
Kwa kweli watu wengine siwaelewi mimi...Kwa hiyo na wewe ndio unamwagia mafuta ya taa kwenye moto unaoanza kuwaka? Mchokozi wewe!
Kwa kweli watu wengine siwaelewi mimi...Kwa hiyo na wewe ndio unamwagia mafuta ya taa kwenye moto unaoanza kuwaka? Mchokozi wewe!
TANMO, nimeshangaa sana hilo swali la Sokwe. now that you mention it na mimi naona it was too hursh, jamaa alikua anatania (I hope)...hapana, siyo lengo langu hilo mkuu. Ni kwamba sikutarajia kwamba RR angekuja juu kiasi hicho, manake nimezoea kumwona RR mpole na asiyekubali kughafilika kirahisi..! (eti hadi avatar inaona aibu, lol)
wana **** mnato na wamelelewa utakavyo