Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,535
- 20,710
Naleta mkanda mzima punde, sitani si kwa mwanamke mmoja tu wa kimarangu ila nawajua kama 7 hivi, na ni nuksi hawa, sishauri ndugu au rafiki aoe huko, mama yangu,
.
Juzi tar 8 tumetoka kuzika Tanga mjini, ni mwanamke wa ki marangu kaua mumewe na bahati nzuri sms ziko zinaonyesha mumewe akilala eti alitaka kumuaa kwa muda mrefu ila mungu tu anamsaidia na kama si watoto wake 2 angempa talaka muda mrefu, na sababu eti anasema ni pesa, sasa hayo ni maneno ya marehemu.
mwezi wa 3 kama sikosei tar 18 hiv, ndugu yetu alie muoa mmarangu wanakaa himo, njia ya kwenda Rombo alipoteza maisha, ila kulikuwa na mgogoro wa mke na mume kwa muda mrefu, na mke wake anasema hajui eti alikuwa na presha, ila alivimba sana tumbo, haya ni ya ukweli. na mwanamke yuko hata halii sanaa, macho makavu msibani. inatisha sana.
.Ktk huu msiba wa tanga kila.mtu tena watu wazee na wanawake wa makamo wakaanza kusema wa marangu hawafai siku hizi kuoa. ukikusanya pesa wanageuka haraka sana, tena wanakutenga na familia yake ya mume, na wanajionyesha watu wa dini hiv. ila ni heri ya wapelestina wamachame kwa sasa. ukizubaa tu wanakumaliza..basi watu kadhaa wakaanza kutoa ushuhuda jinsi hawa wanawake wa marangu walivyo, hadi nikachoka, ila wanaonekana watulivu kwa nje, wee ni kama kobe hao, na wanajiona sana, kujisifu nk.
ni story ndefu za watu wenye heshima zao walitoa ushuhuda. inatisha