Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,412
- 119,118
Hahaha unaeleza dhumuni kabisa wakati hata uhakika wa kujibiwa haupoNakusalimia kwanza, then dhumuni litakuja baada ya wewe ku-respond positively. Nikiona hata salamu imekuwa shida kujibu, nageuka nyuma na kurudi nilipokuwa
Sent using Jamii Forums mobile app