Wanawake wa JF kujazana MMU kunanipa maswali mengi

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,502
6,403
JF ina majukwaa mengi tena yenye manufaa zaidi ya MMU, lakini wanawake wengi JF kutwa nzima wamejaa MMU.

Hapa yamejazana sana hii inapelekea kujiuliza mwaswali kadhaa;

Je hajui mapenzi ndio maana wamejaa huku kutafuta elimu ya mapenzi?

Je wanauelewa mdogo kuhusiana na mada nyingine tofauti kama uchumi, siasa na technolojia zaidi ya uelewa wa mapenzi?

Je mapenzi na ushauri ndio kila kitu kwa wanawake wa JF zaidi ya masuala mengine kijamii?
 
Jf ina majukwaa mengi tena yenye manufaa zaidi ya Mmu, lakini wanawake wengi Jf kutwa nzima wamejaa MMU.

Hapa yamejazana sana hii inanpelekea kujiuliza mwaswali kadhaa

Je hajui mapenzi ndio maana wamejaa huku kutafuta elimu ya mapenzi?

Je wanauelewa mdogo kuhusiana na mada nyingine tofauti kama uchumi, siasa na technoloji zaidi ya uelewa wa mapenzi?


Je mapenzi na ushauri ndio kila kitu kwa wanawake wa Jf zaidi ya masuala mengine kijamii
Ushaambiwa mapenzi yanarun dunia...

Waache wakae huku maana huko siasani mtawavuruga tu...

Maana huko siasani kumejaa umbea kuliko MMU... Kutwa nzima mijitu mizima inawajadili Wema Sepetu, Makonda, Masogange, mama Wema as if wamekosa la maana la kujadili...

Kutwa kucha mijamaa inatukanana... Bavicha UVCCM, Lumumba Ufipa, Nyumbu Panya... watu wanatukanana JF wakati wanasiasa wenyewe wanakula bata tu. Wenzenu wanapiga vijembe bungeni, jioni wanakutana bar wananunuliana bia na nyama choma.

Waache wamama wabaki MMU, huko siasani ni full mapovu... na wajinga ndio waliwao.
 
Mfano : jukwaa la siasa sitaki kuwashauri wadeal nalo. Hakuna cha maana zaidi ya ligi zisizona maana. Inahitaji moyo kujadili siasa za tz.

Ila majukwaa mengine yapo vizuri. Intelligence, technology, chit-chat, n.k

Kwa kweli siasa, hasa za kwetu ni majungu, unafiki na uzandiki...hata mimi siwashauri. Lakini technology na intelligence, garage huko ni ngumu sana kuona wadada wapo active, labda chitchat na celebrities huko.

Hata hivyo watu wapo huru kuchangia hoja popote!!!
 
Ukiona hivyo ujue huyo ni mtoto haramu, maadam mama yake hajui ni nani alimpa mimba mpaka akamzaa yeye... anadhani wanawake wote ni kama mama yake...
Mtoka pabaya wewe!
Kaioshe iyo ndio uje hapa tena
 
Mfano : jukwaa la siasa sitaki kuwashauri wadeal nalo. Hakuna cha maana zaidi ya ligi zisizona maana. Inahitaji moyo kujadili siasa za tz.

Ila majukwaa mengine yapo vizuri. Intelligence, technology, chit-chat, n.k
Shikamoo mzee
 
Kwa kweli siasa, hasa za kwetu ni majungu, unafiki na uzandiki...hata mimi siwashauri. Lakini technology na intelligence, garage huko ni ngumu sana kuona wadada wapo active, labda chitchat na celebrities huko.

Hata hivyo watu wapo huru kuchangia hoja popote!!!
Eli kama hauna team ni Vigumu kudumu jukwaa la siasa. Yalinishinda.

Sio majukwaani tu. Hata mitaani wanawake wangapi unawakuta garages? Kilichopo huku ni taswira halisi ya yaliyopo uraiani.
 
Mfano : jukwaa la siasa sitaki kuwashauri wadeal nalo. Hakuna cha maana zaidi ya ligi zisizona maana. Inahitaji moyo kujadili siasa za tz.

Ila majukwaa mengine yapo vizuri. Intelligence, technology, chit-chat, n.k
indeed mkuu kule hata mimi sintoenda tena,watu wanaongea kishabiki tu sio kwa kujengana wala kujenga hoja,mtu anabisha hata anapoona hapa ni ukweli mtupu.hiyo sio siasa tena
 
Eli kama hauna team ni Vigumu kudumu jukwaa la siasa. Yalinishinda.

Sio majukwaani tu. Hata mitaani wanawake wangapi unawakuta garages? Kilichopo huku ni taswira halisi ya yaliyopo uraiani.
Jukwaa lile limejaa mapovu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom