WANAWAKE WA DAR!

Ooh sawa asante kwa ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooh sawa asante kwa ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tena Mama, tena ukiona ameshaanza kukuletea huo ujinga basi ni heri ukaanza tu kujiachia pole pole ukijua hapo tayari huna chako zaidi ya kupotezewa muda tu.

Na Wanaume hufanya kukusifia ukiwa ktk hali km hiyo sababu anaelewa kusifiwa ni sehemu 1wapo ya udhaifu wenu kwetu Wanaume, so ni heri azidi kukusifia ili uzidi kuwa naye karibu hasa kimapenzi lkn rohoni mwake tayari kashakutoa kabisa kihisia kwa mtizamo wa maisha ya baadaye.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana mimi nimejiweka kwako baba mwanaume unayejielewa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hewa unapataje huku umejigubika mnguo!!!

Mmmh! hiyo hewa inatakiwa wakati wa ujauzito tuuu, halafu, kwani kujisitiri ni lazima iwe gubigubi mkuu! au mimi sijui maana ya kujisitiri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…