BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
mfano wako siwezi kukupa jibu make haiwezi ikatokea ukapenda watu wawili kwa ulinganifu, lazima kuwa na sababu ya kumpenda kila mmoja ana hivyo vitu ndo vitakufanya wewe uamue kuwa na yupiNielewe vizuri upendo sio pesa ila pesa inamchango kwenye kupendwa na kupenda.
Pia elewa,
Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake na hapo inategemea huyo mbuzi kafungwa wapi.
Bakhresa atakula vya levo yake na mimi nitakula vya levo yangu na wewe Utakula vya levo yako.
Hakuna upendo usio na sababu mzee. Hakuna mtu wa kukupenda from no where tu mzee.
Chukulia instance hii.
: mwanamke kapendwa na mtu mwenye pesa na kapuku. Wote wanamjali, wanamheshimu na kumthamini. Na mwanamke pia anawapenda wote. Ila jamaa wa pili hawezi kumhudumia mtoto kama anavyofanya jamaa wa kwanza. Nani atamchukua mtoto?
Ok endelea kutafuta mtu atakae kupenda bila sababu. Na endelea kutafuta mwanamke asiyependa pesa.mfano wako siwezi kukupa jibu make haiwezi ikatokea ukapenda watu wawili kwa ulinganifu, lazima kuwa na sababu ya kumpenda kila mmoja ana hivyo vitu ndo vitakufanya wewe uamue kuwa na yupi
Wao ndo michosho mkuu labda kama hujakutana nao sema labda kama ni utani tuu unafanyika humu ndani ila sio upendano...most of them they are after money na haimaanishi kama mimi siwezi kuwapa pesa ila tatizo kitu cha kwanza wao ni pesa namimi sitaki kudinyana tuu nataka maishaMbona wapo poa tu. Itakua wewe ndio michosho
ya mkuu wewe endelea kuwapenda wanaopenda pesa utakuja pata majibu pia akitokea pedeshee zaidi yakoOk endelea kutafuta mtu atakae kupenda bila sababu. Na endelea kutafuta mwanamke asiyependa pesa.
Au nawewe unapenda pesa japo ka Avatar kako hakaonyeshi hivoSawa mkuu
Haka kamchezo hakahitaji hasira....nipo tayri kuchangia thread yako nyingine maana kwa mawazo haya utaanzisha nyiingi .ha
ya mkuu wewe endelea kuwapenda wanaopenda pesa utakuja pata majibu pia akitokea pedeshee zaidi yako
Njoo unywe maziwa kwa ajili ya afya yako umeongea vyema.....Mwache kulalamika nyie jamaa.
Hivi nani atakupenda pasipo hata na senti? Kuanzisha familia hatuangaliii sura ya mtu na moyo wa mtu tu. Sababu kama hali ya uchumi wa mtu ni muhimu.
Nani anapenda kulala njaa, au wanawe washindwe kusoma kisa eti anaupendo wa Dhati? Hakuna upendo usio na sababu. Binafsi siwezi kutengeneza mahusiano ya ndoa kwa mwanamke ambaye atanilalia. Hili lipo wazi labda muendelee kujipa mioyo tu.
Asante mpendwa, niwekee hiyo glass pm nakuja kuichukuaNjoo unywe maziwa kwa ajili ya afya yako umeongea vyema.....
HahahahAu nawewe unapenda pesa japo ka Avatar kako hakaonyeshi hivo
Wao ndo michosho mkuu labda kama hujakutana nao sema labda kama ni utani tuu unafanyika humu ndani ila sio upendano...most of them they are after money na haimaanishi kama mimi siwezi kuwapa pesa ila tatizo kitu cha kwanza wao ni pesa namimi sitaki kudinyana tuu nataka maisha
Njoo nshaweka yasije yakapoaAsante mpendwa, niwekee hiyo glass pm nakuja kuichukua
Njoo ila uwe radh kutimiza hisia zangu muda wowote napohitajHahahah
Hakuna asiyependa pesa
WTF!Njoo ila uwe radh kutimiza hisia zangu muda wowote napohitaj