Wanawake Vizinga

mfano wako siwezi kukupa jibu make haiwezi ikatokea ukapenda watu wawili kwa ulinganifu, lazima kuwa na sababu ya kumpenda kila mmoja ana hivyo vitu ndo vitakufanya wewe uamue kuwa na yupi
 
mfano wako siwezi kukupa jibu make haiwezi ikatokea ukapenda watu wawili kwa ulinganifu, lazima kuwa na sababu ya kumpenda kila mmoja ana hivyo vitu ndo vitakufanya wewe uamue kuwa na yupi
Ok endelea kutafuta mtu atakae kupenda bila sababu. Na endelea kutafuta mwanamke asiyependa pesa.
 
Mbona wapo poa tu. Itakua wewe ndio michosho
Wao ndo michosho mkuu labda kama hujakutana nao sema labda kama ni utani tuu unafanyika humu ndani ila sio upendano...most of them they are after money na haimaanishi kama mimi siwezi kuwapa pesa ila tatizo kitu cha kwanza wao ni pesa namimi sitaki kudinyana tuu nataka maisha
 
ha
Ok endelea kutafuta mtu atakae kupenda bila sababu. Na endelea kutafuta mwanamke asiyependa pesa.
ya mkuu wewe endelea kuwapenda wanaopenda pesa utakuja pata majibu pia akitokea pedeshee zaidi yako
 
Siku hizi bila pesa hakuna mapenzi ndugu mwamke gani anapenda kulala njaa wanatafuata penye udongo Wa rutuba
 
ha

ya mkuu wewe endelea kuwapenda wanaopenda pesa utakuja pata majibu pia akitokea pedeshee zaidi yako
Haka kamchezo hakahitaji hasira....nipo tayri kuchangia thread yako nyingine maana kwa mawazo haya utaanzisha nyiingi .
 
Njoo unywe maziwa kwa ajili ya afya yako umeongea vyema.....
 
Tisa kumi mapenzi sio pesa ila ikikosekana ndo mwanzo wa kukosa amani ndani ya nyumba tutakula mawe
 

Mie napingana na wewe kwa nguvu zote. Mwanamke akishakuona haueleweki na wewe kweli hueleweki lazima aangalie namna ya kukwepa, sasa hapo kwenye kukwepwa ndio utaona wanazingua, kumbe mwenzako anajiweka kando na wewe. Mimi nimeisha kua na wanawake wanne humu JF wanajielewa sana, kuanzia kiakili, kimaisha, hata kitabia.. Ila kuna mambo kwangu yalikua shida that why nimebaki kua marafiki nao na maisha yanaenda vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…