Wanawake under 26-20 wamekuwa adimu?

Wanawake under 26-20 wamekuwa adimu?

Kumpata ni ngumu maana wengi wao wanatafuta unafuu kutoka kwako pia kwangu ,
Kwa hy usitegemee unayemuhitaji alishahotajiwa na akaachwa hapo kutokana na tabia zake kuwa makin kitu kizur hakiji hivihv.

Please be careful.
 
kuna vitu ambavyo watu hushindwa kuvielewa au labda makusudi na kejeli jf wameweka jukwaa hili kwa ajili ya masuala ya husuyo ndoa na mahusiano kwa ujumla wake pia ndani yake upo ubao wa kutafutia wachumba;marafiki n.k nadhani kua wao pia waliamini kua mtu unaweza mpata mwenza popote pale bila kujali mumekutana kwenye mazingira gani pia ninaimani kupitia jf zimepatikana ndoa nyingi na nyingu pia zipo.kwenye hatua mbalimbali.ndoa nimaridhiano ya wawili japo ukweli utabaki kua mleta mada anaweza pia kupata pm nyingi lakini nyingi zikawa sizo ila kama aliandikiwa atampata kupitia humu atampata na ataoa. hivyo tusipende sana kukejeli.bandiko la mtu.wala hakuna ukweli kua alipo amekosa ila nikua hajaridhika nao na kaamua kutumia njia hii.
lakini pia nikirudi kwa mleta mada huyu na wengine wenye nia ya kuja humu kubandika matangazo yao.ni vema mtu kujua anachohitaji nikitu gani pia.ndoa sijambo dogo na rahisi kiasi hicho maisha ya ndoa ni kitu nyeti sana.nashangaa pale mtu anapokuja anaweka vigezo vyake sijui mnene potabo asiwe mrefu mara awe mweupe elimu sijui chuo umr.hapo kamaliza anakaa asubiri pm za mke mwema zije.hapa nafikiri bado watu hatujui uthamani wa tunachotafuta iwe mke au mume.mfano kama huyu hatujui yeye ni dini gani na yeye anavigezo vipi huyo mke anayetaka hajaweka vigezo vile muhm hata kimoja.sasa hapa hata akimpata leo kuna ndoa hapo?au ndo ile siku mbili nimetendwa?au unampata mtu kama huyu siku munaonana anataka mgegedo.kweli matangazo mengine hayaonyesh mtu kua serious na akitakacho kwa mtu mwenye akili ya .tunakuombea upate kama uko serious watakuja.
 
Mkwe kumbe umenizidi umri? Aisee, shkamoo mwali wangu

hehehe! marahaba mkwe ingawa najua wewe kwa mwaka una birthday nne na umri wako tangu mwaka 2000 hauongezeki upo palepale. ndo tuseme unakua kurudi nyuma mkwe au!!!???
 
Hahaha mwaka 2000 nilikuwa sikwalifai kugombea umiss tz. Toka 1992 umri umegota aisee. Besdei unanisingizia banaa, zinakuwaga tatu sio nne
hehehe! marahaba mkwe ingawa najua wewe kwa mwaka una birthday nne na umri wako tangu mwaka 2000 hauongezeki upo palepale. ndo tuseme unakua kurudi nyuma mkwe au!!!???
 
Hahaha mwaka 2000 nilikuwa sikwalifai kugombea umiss tz. Toka 1992 umri umegota aisee. Besdei unanisingizia banaa, zinakuwaga tatu sio nne
nakuonea wivu mkwe! mwenzio nna birthdays mbili tu. sijui nikuzime nusu birthday ili twende sawa!!
 
Lugha na hesabu ni ngumu mkuu."Under 26-20" au "wanao-range from" 20-26(yrs)?Uliwachanganya,watakuja,poa mkuu wangu!

Naona hesabu ya kina SITI MTENVU, alikuwa 18 wakati wa shindano, baada ya kupata taji anadai ana23. Kwa hesabu hiyo asitafute mwalimu aende kwa lundenga atampa CV achague amtakae.
 
Back
Top Bottom