Dont go away
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 501
- 208
Jana niliweka hapa bandiko langu la kutafuta mwanamke mzuri kwa maana ya tabia, umbo la wastani au mwembamba (mobitel) na mrefu wa wastani tu, aliye na kazi sasa sijapata mwenye sifa hizo hadi sasa.
Nilisema mimi nimeajiriwa na nina miaka 29.
Mwanamke yeyote aliye tayari lakini awe na ajira au anayetegemea kupata kazi na mpenda maendeleo, kama ni mwalimu itakuwa vzr zaidi au hata kama c.mwalimu siyo mbaya.
Aliye tayari Ani*****PM****
Note😛lease awe serious sana na awe mwelewa zaidi.
Nilisema mimi nimeajiriwa na nina miaka 29.
Mwanamke yeyote aliye tayari lakini awe na ajira au anayetegemea kupata kazi na mpenda maendeleo, kama ni mwalimu itakuwa vzr zaidi au hata kama c.mwalimu siyo mbaya.
Aliye tayari Ani*****PM****
Note😛lease awe serious sana na awe mwelewa zaidi.