Wanawake: Ukimpenda mwanaume mtongoze

Nimeipenda hii uliweza kusoma alama za mrembo kukuzimia kila alipokuona.


Haikuwa ngumu kwangu kumsoma mke wangu kwani nilihisi kitu hicho maana kila aliponiona lazima aligeuka na kuniangalia ila nikimpa macho anakuwa na haibu.
 
Mapenzi ya mwanamke kumtongoza mwanaune huwa Hayadumu hata siku mojaaa...!!
 
Wanasema upendo una nguvu kama moto, una uwezo wa kumbadirisha mtu
 
Bad idea ever..... Wasichana zaidi ya 5 wamenitongoza directly from secondary school up to now bt wote hao mimi nimecheza nao tu nimewaacha tena sikudumu nao kwa muda mrefu.... Bora tu mfumo baba wa sisi kuwatongoza uendelee, utaishia kumuumiza na kutokumpenda..
 
Duh pole kwa kula tongozo mkuu
 
Kwani wanawake wankupenda wewe au kitu chako, mwanume huwa anapenda mwanamke nje kwanza, mwanamke anapenda mwanaume ndani yaani uwe na kitu fulani kama ni pesa, kipaji au hata roho yake lakini sio housing yako, ila sisi wanaume tunataka housing kwanza. Hivyo ukiona mwanamke kakupenda ujue sio hauzing yako. Mwanaume kamili haangalii shepu ya mwili au sura yake, utaja liwa kiboga na wanaume wenzio kisa unasubiri kupendwa na mwanamke
 
Ngoja nisubiri kutongozwa zangu mie[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
hadi nimetokwa na Machozi ya furaha.... Mungu awabariki
 
Wapuuzi tu wakitutongoza tukiwakubalia kifuatacho kizinga dadeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…