Wanawake tukumbushane wajibu wetu

Wanawake tukumbushane wajibu wetu

Wanaume wa zamani walikua wanajua majukumu yao haswaa tena kutunza mke ilikua ni proud kwao lakini hawa wa sasa looh utasubiri
Umeonaeee. Na wala hawakuwa na ulalamishi.

Ila ndio hivyo wacha tuende na kasi yao kikubwa tujue tu kutafuta za kwetu.
 
Hahahaa. Na utandawazi huu ni wachache wanaotokea kumpenda mwanaume halafu wakafa na tai shingoni walio wengi wanajifungulia zao.

Na mwisho wake ndio hayo mahusiano hayastawi sababu kiuhalisia hakuna mwanaume anaweza tongozwa na mwanamke halafu akakataa yaani mpaka aonje ile P a p a ndio anaweza sepa asirudi tena.
Mbona hao wanaoanza kutupenda ndio hao wanatumwaga bila huruma? Au mi sijaelewa mada.!!

Pengine ungewakumbusha hao me kuheshimu hisia za mwanamke anapoamua kumpenda, maana breakups zinasababishwa na pande zote mbili, wapo wanaume kutongoza ni hobi yao na sio kwamba wanawapenda wanaowatongoza.
 
Ya nini kufa na tai shingoni? Halafu utakuta wanawake mnasema yule hakiwa chaguo langu. Hilo chaguo unalipataje kama umempenda mwanaume lakini hana habari na wewe. Ndo concept inakuja ya mke kujiongeza.
Na ndio maana asilimia kubwa ya wanawake wanaishi/wameolewa na wanaume sio machaguo yao. Kama umeolewa na sio chaguo lako tegemea visa na vituko vya kila rangi, maana wewe sio chaguo lake anajilazimisha tu
 
Hahah!!....

Ndio hivyo mkuu mimi kama KE simpendi yani simpendi tu ata aje kajipaka viungo vya pilau simuelewi tu ila tofauti na mimi nikimpenda KE atakama hanielewi ila kunauwezekano wa kunielewa baadae

Hahahaha, upo sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom