Hahahaha, kwanza hii mada ukiipeleka kijiweni eti kwa mfano unawahadithia sasa mimi
maliyamtu ananitaka kimapenzi kwa mfano lakini sory maliyamtu sio kweli.
Ushauri utakaopata hapo kwa mameni wenzio yani ni mara kumi umgemuomba ushauri shetani
Yani ushauri utakaopata hapo ni zaidi wa shetani, utasikia
Usiache bahati hiyo, mwingine ukimuacha utaonekana hudindishi
Mwingine bahati haiji Mara mbili ohoooo
Mwingine anakwambia bahati hii ningeipata mimi mamaeeee nisingeilazia damu leo leo nakula mzigo Hahahahahahahaha
Wanaume sometimes akili zetu tunazijua wenyewe.