maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,137
- 3,876
- Thread starter
- #21
Ni kweli kabisa mkuu kwenye mahusiano lazima kuwe na kichwa na moyo kama wote mkitaka kuwa vichwa hayo mahusiano lazima yaporomokeVise versa is true. Kudumu kwa mahusiano kunategemea na wahusika ambao wamo wana azma gani.. mwanamke ana operate katika emotional state while mwanaume ana operate in logic. Siku zote haitawezekana mwanamke na mwanaume kuwa sawa.. kwenye mahusiano yoyote yale mmoja wao lazima awe na power juu ya mwenzake other wise mahusiano hayata dumu. And that is the truth
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
(ashakum si matusi kaka).