masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,378
- 19,267
ikiwa wanaume wanatumia jf kupiga mihela na dili za biashara na michongo kibao
WANAWAKE WANAANIKANA NY....T ZAO NA JINSI WALIVYO HUKO URAIANI
inashngaza na kuhuzunisha
Duu somo zuri kwa wanawake .mwenye macho kasoma mwenye akilii kaelewaa
Nina dili la biashara nikumegee pande?
Back to topic wanawake ni vigumu sana kuwaelewa hasa kwenye maisha ni nini vipaumbele vyao, kila siku Shigongo anatajirika kupitia akili mgando za Wanawake (siyo wote)
najisikia vibaya sana kwa yanayoendelea
huwa natamani iishie jokes tu za hapa na pale lakini kufikia hukoo kuanikana hadi ulilala na nani na kalala stili hii
NAKIRI TANGU NAZIJUA SOCIAL MEDIA SIJAWAHI ONA WANAUME WANAFANYIANA HAYO ZAIDI NI WANAWAKE kuanzia kwenye blogs anaglia blogs zipo nyingi tu zinamilikiwa na wanaume lakini kwa nini wanawake weni ndo hutupiana matusi na mambo mazito
hali kadhalika instagram
Matola kaka yangu muda mwingine mimi nasemaga sitaki kumjua mwanamke humu AM GLAD simjui hata mmoja si kwa biashara wala nini
maana atakuja kukuaibisha humu aje aseme nimekutana na masai dada ana bonge ya chogo SITAKI KABISA
nakiri nitafanya biashara na kusocialize na wanaume
wanawake sitaki
Kama wananijua basi wamenitafuta wenyewe bila mimi kujua
Matola kaka yangu muda mwingine mimi nasemaga sitaki kumjua mwanamke humu AM GLAD simjui hata mmoja si kwa biashara wala nini
maana atakuja kukuaibisha humu aje aseme nimekutana na masai dada ana bonge ya chogo SITAKI KABISA
nakiri nitafanya biashara na kusocialize na wanaume
wanawake sitaki
Kama wananijua basi wamenitafuta wenyewe bila mimi kujua
Matola kaka yangu muda mwingine mimi nasemaga sitaki kumjua mwanamke humu AM GLAD simjui hata mmoja si kwa biashara wala nini
maana atakuja kukuaibisha humu aje aseme nimekutana na masai dada ana bonge ya chogo SITAKI KABISA
nakiri nitafanya biashara na kusocialize na wanaume
wanawake sitaki
Kama wananijua basi wamenitafuta wenyewe bila mimi kujua
maana atakuja kukuaibisha humu aje aseme nimekutana na masai dada ana bonge ya chogo SITAKI KABISA
masai dada kumbe una bonge ya chogo! Pamoja na hayo lakini mwanya wako unawakimbiza membaz kwa saana. Kudoz.
Wengine wapo kibiashara hvyooo wanatangaza.
Wengine nadhani hatambui umuhimu wa miili yao hvyooo wanaona kuiacha wazi ni ishuu kumbe ulimbukeni mtuu.
Wengi ya wanawake km hao hawana hofu ya mwenyenzi mungu coz mwenye hofu ya mungu hawezi Fanya vitu vya kujipotosha .
WANAUME KM WANAUME TUNAJIHESHIMU NA KUHESHIMIANA HATUWEZI FANYA MAMBO KM HAYO.
Yani afu mi nlichukulia ki masihara tu nashangaa watu wanaanza kupolomosheaa ila kwelii wanawake sio siri tuna matatizo tena sio kidogoo kah........ivi mtu unijui ckujuiii et unaanza kunizushiaaa tukijuana si ndio hatariii......duh kweli mungu aturehem wanawake sisii
Chogo tena?! Ha ha ha ha ha ha!
hii sehem si salama watu wa chuki ya Hali ya juuu aisee
oooh Mungu wangu
mtu ana coment kwa ukali unasema mkikutana huyu ANAKUCHOMA KISU looh au bunduki