Wanawake tuache kuomba pesa 2021

Wanawake tuache kuomba pesa 2021

chinkychinky

Member
Joined
Sep 24, 2020
Posts
18
Reaction score
170
Tunamshukuru mungu kwa kumaliza mwaka na kuanza mwaka huu mpya. Ushaur wangu kwa wanawake tunauanza mwaka huu mpya naomb tuuanze kwa mabadiliko makubwa

Kwanza tuache kuomba pesa kwa wanaume , wanawake tuchape kazi tupambane kujitafutia rizik tujikwamue kweny dimbwi la umaskini na kutumika ovyo kisa pesa. Siku hizi tunatumia ovyo tumekuwa Kama public toilet kisa kuendekeza umaskini mtu akikupa hela kidogo umehamia na mimba unabeba mwisho unatelekezwa. Wanawake wenye shughuli zao wanajiamini pia wanamisimamo na wanaheshimika Sana. Tuache kujidhalilisha kisa pesa ,pesa zinatafutwa bwana

Tutafute pesa tuwapunguzie wababa mijengo majukumu tuwasupport jaman Hawa wababa Kuna wakati wanazidiwa mpak wakifike nyumban akun tabasamu kwa mastress ya familia. Tunyanyuke jamani kudanga ,kuchuna mwisho 2020
 
Wapo kwa mwamposa kukanyaga mafuta subiri watoke

Ili tubalance hii mada mimi nawashauri pia wanaume wajifunze kutoa hela bila kuombwa
Tunatoa sana, kuna wanawake wanatia aibu sana.
Kuna binti tulitoka out ikiwa ni mara ya kwanza kuonana ana kwa ana.
Tulipata chakula cha jioni/usiku pamoja sehemu tulivu na bora kabisa.
Tukiwa tunapiga stori za hapa na pale akaanza:
1. Baby baada ya siku mbili ni birthday yangu
Anaomba 200k nikasuke
2. Halafu sina kiatu kizuri.
3. Naomba zawadi isiyopungua 300k
4. Sijui nini nini nini...aghhh

Kwa maoni yangu alipaswa kunipa taarifa then aniachie mimi nijiongeze.
Kwa kifupi nilimuona ni fyatu
 
Mimi endeleeni tu kuniomba hamna shida

Sharing is caring
Wanawake na pesa ni kama chupa na mfuniko. Mizinga itaongezeka maradufu
Nafikiri kuomba sio tatizo but approach na timing ni muhimu.
Huwezi kufahamiana na mtu leo na ukajigeuza yatima na omba omba.
Jipe muda, mfahamiane then maisha yaendelee.
Kuna wanawake wastaarabu hadi raha hata akikuomba unampa zaidi kwani sio jadi yake kulialia
 
Back
Top Bottom