Wanawake sio watu wazuri

πŸ˜‚πŸ˜‚ wacha wee kazi itaanza lini mkuu
 
Stori
Stori za kutunga hizi hazikupi faida yoyote.eti ukawa unatoa 1m kwa mwezi matumizi?? Hata Diamond yalimshinda kwa Mobeto. Wewe una hela gani? Hata kumuoa tu ulishindwa ujidai kumtambulisha kwa mama ndio ingesaidia nini. Hivi mnajua wanawake wanapenda kuzalia nyumbani eeh!
 
Story nzuri ila umeandika kihuni kinoma. Kwa hizo akili kweli unaweza ukasingiziwa mtoto
Fasihi. lugha changamshi. kwa namna watu maandishi yao humu haimaanishi namna fulani ya taswira zao.

Ni tofauti Kidogo.
 
πŸ“Œ
 

Uko shuleni ulisomea Maharagwe Mkuu?

Yaani usd 100 = Milioni 1?


Hahahahahahah
 
ni kweli.
Ila walio wengi wako namna hiyo.
toka ujana wangu nimeshabambikwa watoto sio wangu watatu kwa wanawake tofauti
Ndio maana namheshimu sana Mke wangu wa Ndoa na sitaki ajue kabisa
piga chini anza upya
 
Ukianza kuwa na wasi wasi tangu siku amesema ana mimba yako, basi kuna uwezekano wa zaidi ya 50% kuwa si wako.

Alafu kama ndio anaishi kwenye geto lake ndio dah wasi wasi unazidi.
Sina wasi wasi ila sitak kuwa kimbelembele na apa kajifungua lkn hakuna ndugu ata mmoja nimemwambia
 
kwanini usimuoe kwanza? makosa ni yako usichovyechovye huenda mwenzako hana imani na wewe sasa ukimrudia atakupa wa kwako kabisa
Huu usnaur pumba kabisa wanaume msiufuate maana kwa maelezo ya mshikaj apo juu lait angekuwa amemuoa uyo dada basi angeathirika zaid au angejiua kabisa nimesema sioi ni mwendo wa kuzaa tu
 
ulijuaje Kama mtoto sio wako?
 
Huu usnaur pumba kabisa wanaume msiufuate maana kwa maelezo ya mshikaj apo juu lait angekuwa amemuoa uyo dada basi angeathirika zaid au angejiua kabisa nimesema sioi ni mwendo wa kuzaa tu
wewe kwanza hujaoa unajuaje hasara za kuoa au kutooa?
huna sifa za kuzaa naona watakuzalishia wakubambike watoto
jua kwanza kulea, sio wenzako wakulelee ukawachukue mabinti za watu
tangu vyuo na sekondari kufungwa tutaona mengi
 
pole sana mkuu, mimi nimeteua ndugu zangu 4 wakudhibitisha kama mtoto ni wangu ama si wangu. Nashukuru mtoto wangu wa kwanza walinidhibitishia huyu ni wangu na hata nikipita nae kitaa naambiwa nikama nilitia mbegu zangu kwenye photocopy machine. mwakani nina mpango wa kuongeza wa pili huyu nae lazima kamati imchunguze kama ni wangu au twende kwa DNA.
 

Dah hiho kali mzee. Yaani mara mia ugegede utupe kule lakini sio kuchonga mzinga
 
wewe kwanza hujaoa unajuaje hasara za kuoa au kutooa?
huna sifa za kuzaa naona watakuzalishia wakubambike watoto
jua kwanza kulea, sio wenzako wakulelee ukawachukue mabinti za watu
tangu vyuo na sekondari kufungwa tutaona mengi
Anibambikie !! Shaur lake nikikuta sura sio yangu tu najitoa sihusik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…