Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,285
- 39,490
- Thread starter
- #21
Ambao hatujawahi kupewa tunakaa upande upi?
Kwamba unatoa
Ambao hatujawahi kupewa tunakaa upande upi?
Sitoi na sipewi🤣🤣🤣🤣🤣Kwamba unatoa
Dora ooo kam basiPande zile![]()
ila zamani kidogo wakati niko shule ilikua laki 1Sitoi na sipewi![]()
Kwa kipindi hiki sijawah pewa pesa kabisa hata ya vochaila zamani kidogo wakati niko shule ilikua laki 1
Hahahaah umeongea kwa hisia sana

Nilimpa asanteWewe ukampa nini baada ya kupewa laki 1?
Hahaa wapi tena
Nilimpa asante kama asanteAu siri yako![]()
Na wewe ulikuwa unatoa nini ukishapokea hiyo laki? Ni biashara gani ulikuwa unafanya?Kwa kipindi hiki sijawah pewa pesa kabisa hata ya vochaila zamani kidogo wakati niko shule ilikua laki 1
Sikua nafanya biashara yoyote. Alikua mpenzi wangu je kuna ubaya alipotoa pesa kunipatia?Na wewe ulikuwa unatoa nini ukishapokea hiyo laki? Ni biashara gani ulikuwa unafanya?
Funguka bhs
Kaa kushoto kuliaAmbao hatujawahi kupewa tunakaa upande upi?
Hakuna ubaya!Sikua nafanya biashara yoyote. Alikua mpenzi wangu je kuna ubaya alipotoa pesa kunipatia?
Usipanic dogo![]()