mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,025
- 1,743
Mkuu kama kweli ulimpenda, swali hilo si zuri! Hivi mfano angekujibu kua ashadate na 20 men, vipi ungejiskiaje kua nae! Ujue sku zote wanawake na hata wanaume hupenda kuwapa wenz wao majibu yatakayowafanya wawe na amani! Swali kama hilo hata kama ni wewe ungeulizwa sidhani kama ungeongea ukweli!