PARADIGM
Sifa zao hua hawawezekaniki na ata hua hawaolewi kwasababu wanakua hawako tayari kutawaliwa..Sasa ikitokea wako kwenye Ndoa basi jua kapata Tahira wake anam’buruza awezavyo 🤣🤣🤣🤣🤣👋👋
Miongoni Mwa Sifa zao ni Hizi:-👇👇👇
1 - They always have a sense of entitlement🧕na wanapokosea hawaoni makosa yao ila ya mwenzawake sasa 🤣🤣🤣🙌
2 - Ata urafiki tu kwa Wanawake wenzie hua haudumu kabisa utaskia
('you always' or 'you never' ) statements
3 - ‘Just shut up' statements..the silent treatment
4 - No integrity
5 - No morals
6 - Drama 🎠Queen’s
Fortunately..if someone wants to change those above behaviors it can be done..toxicity isn't necessarily fatal