Yupp!Yani hapo akitafuta nyumba ndogo ana lake jambo!
Ahahahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Si cha mizizi au limbwata bali Woman power!!!!!!!!!!!!!!!Tosha. Keep it up.
jamani jamani hivi karne hii bado mtu unaamini kuwa mwanamke ndio sababu ya mwanaume kutoka nje ya ndoa????duuu wanawake wenzangu huko bongo mnakazi haswa!kuna mijaume imelelewa kwao kuwa wanawake wengi ndio ukamilifu wa uanaume so yeye hata ukampa kila siku hadi akalala nayo akimuona asha ataenda kulala nae tu., kuna wanawake mafundi hasa wa kudemand sex kwa wanaume zao na bado wanaume zao wametoka nje ndoa! so ndugu yangu wewe kama unaaamini sex pekee ndio inadumisha ndoa pole zako inawezekana umepata mwanaume ambaye alikuoa bz of sex only.!
ndoa ni zaidi ya sex ati,ndoa maana yake mume atimize wajibu wake kama mume na mke atimize wajibu wake kama mke! mume anatakiwa kumpenda mkewe na mke anatakiwa kumtii mume!mume kichwa cha nyumba, na mke ni msaidizi kwa mumewe......
inaonekana ndoa yako changa mwenyewe unadhani eti mumeo atoki nje dada usikurupuke?? unaambiwa usisemeee moyo!!! wewe unadhani kulala na mwanaume mara sita kwa usiku mmoja ndio kumsatisfy??? utachekwa mpnz!!kuna wanaume hawajui kusema hapana ingawaje huduma unayompa haimridhishi lakini bz amekuoa atajitutumua kiume kukupa hiyo sex huku kichwani kwake anamfikiria asha? na akitoka hapo ataenda tuu kwa asha coz huko ndio anakopata kitu roho inapenda!
jamani jamani hivi karne hii bado mtu unaamini kuwa mwanamke ndio sababu ya mwanaume kutoka nje ya ndoa????duuu wanawake wenzangu huko bongo mnakazi haswa!kuna mijaume imelelewa kwao kuwa wanawake wengi ndio ukamilifu wa uanaume so yeye hata ukampa kila siku hadi akalala nayo akimuona asha ataenda kulala nae tu., kuna wanawake mafundi hasa wa kudemand sex kwa wanaume zao na bado wanaume zao wametoka nje ndoa! so ndugu yangu wewe kama unaaamini sex pekee ndio inadumisha ndoa pole zako inawezekana umepata mwanaume ambaye alikuoa bz of sex only.!
ndoa ni zaidi ya sex ati,ndoa maana yake mume atimize wajibu wake kama mume na mke atimize wajibu wake kama mke! mume anatakiwa kumpenda mkewe na mke anatakiwa kumtii mume!mume kichwa cha nyumba, na mke ni msaidizi kwa mumewe......
inaonekana ndoa yako changa mwenyewe unadhani eti mumeo atoki nje dada usikurupuke?? unaambiwa usisemeee moyo!!! wewe unadhani kulala na mwanaume mara sita kwa usiku mmoja ndio kumsatisfy??? utachekwa mpnz!!kuna wanaume hawajui kusema hapana ingawaje huduma unayompa haimridhishi lakini bz amekuoa atajitutumua kiume kukupa hiyo sex huku kichwani kwake anamfikiria asha? na akitoka hapo ataenda tuu kwa asha coz huko ndio anakopata kitu roho inapenda!
mmhh?ni kweli kabisa mwanamke huyo huyo wakatiwa uchumba alikuwa anakupa raundi tatu au nne leo ndani ya ndoa utasikia tumeshazeeka sasa sex ya nini so mzee mbunye unaiona akiwa anavaa tu ileeeee mnakaa wiki mbili ndo kwa taaabu anakupa tena akikojoa yeye basi anakuacha mwenyewe uangaike. hakupikii tena hapigi nguo zako pasi tena muda wote saluni na kitchen party. WANAWAKE MBADILIKE