Wanawake ndo tunasababisha waume zetu kutoka nje.

duh sure. mimi mke wangu huwa mpaka mimi nimuanza hata nikigaa mwezi mzima yeye kimya tu jamani wanawake kuweni wawazi
 
Sex inataka maandalizi ya kisaikologia, mwanamke uwe mwanamke kweli, yaani hata sijui nianzie wapi? Unajua mwanamke ukashaolewa hata kama ni Director lazima uiangalie nyumba yako kwa ujumla wake, intotality. Nyumba ni mume, ni chumbani, ni jikoni, ni chakula, ni sitting room, ni chooni, ni wageni, ni ndugu wa pande zote, ni romance, ni sex.n.k. Kama unamuudhi sex itatoka wapi? nyumba ni chafu , kitanda shuka na foronya wiki nzima, marashi mwanaume anayasikia barabarani wapi sex itapanda. BADILIKENI MUWE WASAFI kuanzia roho,mwili, nyumba in totality halafu maisha yatakuwa tofauti. HAKIKISHENI CHAKULA CHENU NI KIZURI, AAA mie hata nashidwa hat kumaliziamaana mnanikumbisha mashamsham, mwanaume hatoki. Mie saa nyingine nakutanana wanawake nawaangalia halafu nawahurumia waume zao, yaani hawana mvuto kabisa kila mahali, najiuliza hawa romance inaanzia wapi? oo mungu nisamehe lakini ndo hivyo nimetoka nje sana ya maa au? nanyie waspmaji nisameheni.
 
jamani jamani hivi karne hii bado mtu unaamini kuwa mwanamke ndio sababu ya mwanaume kutoka nje ya ndoa????duuu wanawake wenzangu huko bongo mnakazi haswa!kuna mijaume imelelewa kwao kuwa wanawake wengi ndio ukamilifu wa uanaume so yeye hata ukampa kila siku hadi akalala nayo akimuona asha ataenda kulala nae tu., kuna wanawake mafundi hasa wa kudemand sex kwa wanaume zao na bado wanaume zao wametoka nje ndoa! so ndugu yangu wewe kama unaaamini sex pekee ndio inadumisha ndoa pole zako inawezekana umepata mwanaume ambaye alikuoa bz of sex only.!
ndoa ni zaidi ya sex ati,ndoa maana yake mume atimize wajibu wake kama mume na mke atimize wajibu wake kama mke! mume anatakiwa kumpenda mkewe na mke anatakiwa kumtii mume!mume kichwa cha nyumba, na mke ni msaidizi kwa mumewe......

inaonekana ndoa yako changa mwenyewe unadhani eti mumeo atoki nje dada usikurupuke?? unaambiwa usisemeee moyo!!! wewe unadhani kulala na mwanaume mara sita kwa usiku mmoja ndio kumsatisfy??? utachekwa mpnz!!kuna wanaume hawajui kusema hapana ingawaje huduma unayompa haimridhishi lakini bz amekuoa atajitutumua kiume kukupa hiyo sex huku kichwani kwake anamfikiria asha? na akitoka hapo ataenda tuu kwa asha coz huko ndio anakopata kitu roho inapenda!

You are missing a point. What you should always know, most men me included (I am not talking about play Boys) are satisfied with their lovers be it wife or otherwise; Provided they are handled very tenderly, respected, cared, loved and lastly taken care of when in bed period. When a man is satisfied he is not even bothered by the so called Asha irrespective of their talents to woo men. So get it right my dear.
 
jamani jamani hivi karne hii bado mtu unaamini kuwa mwanamke ndio sababu ya mwanaume kutoka nje ya ndoa????duuu wanawake wenzangu huko bongo mnakazi haswa!kuna mijaume imelelewa kwao kuwa wanawake wengi ndio ukamilifu wa uanaume so yeye hata ukampa kila siku hadi akalala nayo akimuona asha ataenda kulala nae tu., kuna wanawake mafundi hasa wa kudemand sex kwa wanaume zao na bado wanaume zao wametoka nje ndoa! so ndugu yangu wewe kama unaaamini sex pekee ndio inadumisha ndoa pole zako inawezekana umepata mwanaume ambaye alikuoa bz of sex only.!
ndoa ni zaidi ya sex ati,ndoa maana yake mume atimize wajibu wake kama mume na mke atimize wajibu wake kama mke! mume anatakiwa kumpenda mkewe na mke anatakiwa kumtii mume!mume kichwa cha nyumba, na mke ni msaidizi kwa mumewe......

inaonekana ndoa yako changa mwenyewe unadhani eti mumeo atoki nje dada usikurupuke?? unaambiwa usisemeee moyo!!! wewe unadhani kulala na mwanaume mara sita kwa usiku mmoja ndio kumsatisfy??? utachekwa mpnz!!kuna wanaume hawajui kusema hapana ingawaje huduma unayompa haimridhishi lakini bz amekuoa atajitutumua kiume kukupa hiyo sex huku kichwani kwake anamfikiria asha? na akitoka hapo ataenda tuu kwa asha coz huko ndio anakopata kitu roho inapenda!

You are missing a point. What you should always know, most men me included (I am not talking about play Boys) are satisfied with their lovers be it wife or otherwise; Provided they are handled very tenderly, respected, cared, loved and lastly taken care of when in bed period. When a man is satisfied he is not even bothered by the so called Asha irrespective of their talents to woo men. So get it right my dear.
 
ni kweli kabisa mwanamke huyo huyo wakatiwa uchumba alikuwa anakupa raundi tatu au nne leo ndani ya ndoa utasikia tumeshazeeka sasa sex ya nini so mzee mbunye unaiona akiwa anavaa tu ileeeee mnakaa wiki mbili ndo kwa taaabu anakupa tena akikojoa yeye basi anakuacha mwenyewe uangaike. hakupikii tena hapigi nguo zako pasi tena muda wote saluni na kitchen party. WANAWAKE MBADILIKE
mmhh?
 
Back
Top Bottom