HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,373 94,566 Jan 9, 2023 #1 Ukipita makanisa mengi ya manabii 95% ni wanawake na 4% watoto wao, 1% wanaume Je, wanawake mna kosa gani? Mbona mmejazana kwa manabii? Ukipita kawe Jumapili utashangaa
Ukipita makanisa mengi ya manabii 95% ni wanawake na 4% watoto wao, 1% wanaume Je, wanawake mna kosa gani? Mbona mmejazana kwa manabii? Ukipita kawe Jumapili utashangaa
Champion_Boy Member Jul 13, 2018 24 77 Jan 9, 2023 #5 Mshana Jr Majibu Tafadhali ulimwengu wa Kiroho hii imekaajeh?
Bwana Utam JF-Expert Member Feb 15, 2016 16,622 31,136 Jan 9, 2023 #6 Fitna ya kwanza kabisa kwa wana wa israeel ilitokana na wanawake Sent using Jamii Forums mobile app
Mwachiluwi JF-Expert Member Mar 10, 2022 17,796 32,148 Jan 9, 2023 #7 mbona wanaume nao sikuizi wanaenda kuponywa nguvu za kiume Ujaona nabii ana hamisha nguvu zake za kiume kwa mshikaji
mbona wanaume nao sikuizi wanaenda kuponywa nguvu za kiume Ujaona nabii ana hamisha nguvu zake za kiume kwa mshikaji
dronedrake JF-Expert Member Dec 25, 2013 23,220 54,880 Jan 9, 2023 #8 manabii wanajua cheza na weak-spots za hao viumbe, ni kuwakamua kisawasawa yabidi uwe genius kwa ME kupata hela ya KE kiulaini
manabii wanajua cheza na weak-spots za hao viumbe, ni kuwakamua kisawasawa yabidi uwe genius kwa ME kupata hela ya KE kiulaini