Wanawake na vitambi


wee naona ulikuwa unatafuta mchumba ndo maana ukaona wanawake tu. KWA UFUPI SAHVI VITAMBI NI TATIZO KWA VIJANA WOTE VIJANA WAKIUME SIKU HIZI WANAHEMEA JUJUU VITAMBI NA HAWAJAOA WALA KUOLEWA
 
Usawa mkuu!Wanataka kuwa na miili kama ya wanaume wenye vitambi,usawa unatakiwa hapo!
 
Wanataka wawe sawa na wanaume ndevu, vitambi na vipara vitakuja tuu.!
 
"Everyone has beauty but not everyone sees it!" Kwangu mimi kitambi kwa mwanamke ni mvuto wa haja saana kwangu. Thats me myn!!
 


hehehehehe.... umenifurahisha sana ...
 



mkuu kama huyu


 
Wagumu kuelewa hao.
Yaani binadamu ukiwaambia ukweli mchungu ni vigumu sana kukuelewa zaidi watataka kubishana na wewe tu ila wanajua ni kweli wanakera na matumbo yao, sisi wengine flat afu unakuta msichana au mkeo ana tumbo kubwa na hajazaa wala hana mimba
 
Duuuh ngoja nifanye maarifa nipunguze hiki kitambi....
 
samahani ila kuna wanaume kama mimi tunavutiwa sana na vitambi vya wanawake
 
Hahahaaaaaaa!! Yn apa nipo kwenye jumba la pantoni sikujua kua tunakaguliwa lol!!
 
Pole yao
 
Cha ajabu zaidi wakibeba mimba hutojua, utakuja kuona ana mtoto tu. Wanawake wa zamani mimba zilionekana ila hawa wa kisasa mimba hazionekani kutokana na vitambi vyao
 
Kuna uzi mwingine upo wa vitambi vya wanawake, wanajitetea sana kuwa na vitambi na wanavisifia
 
Huu uzi uunganishwe na ule mwingine wa vitambi vya wanawake unafanana maudhui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…