Sina hata mpango wa kujisumbua kukitoa,nyama choma na bia nimwachie nani,kwani kuna atakaenidai kikiwapo
Hili tatzo kw ssa yaan hata watto wa kiume unakta mtu kafuga tumbo hilo mpka bas afu anatak kuzngka nyuzi 360!ABADANI,yaan unakta mtu na boy wake wote wana matumbo makubwa ts nt gd n look and health..1 pungza kias na rakaa za mlo 2 fany mazoez 3 pungza unywaji wa bia n.k
tambi rahaaa ukivaa top ukiweka na mkanda lakaa sawa bhana ukute na mr nae ana tambi raha
haki sawa kote kote....ndevu nazo siku hizi kibao
Ke wengi wanaamini mazoezi ni kwa wanaume.
Yani unaweza kumkuta ke ana kitambi, afu maziwa yapo apo apo, kifua apo apo, tumbo apo apo, makalio apo apo na mgongo apo apo.
Sana sana kwa ke vibonge, kujisafisha wenyewe mtihani, fulu manongo, fulu kiharufu. Afu anabana pua na kusema hakuna waoaji!
Teh teh teh!
Kitambi changu mwenyewe kikukere wewe!!hehhe inahusu!
Unakuta mwanamke ana ktambi then kavaa kitop kinambanaa ukiangalia mtumbo ulivo.... hata kama nlikuwa nna ham. Inakata.. fanyen mazoez, punguzen minyama... kitamb kinatoka ila kinahitaj juhud
Mie nnacho.....sijui nitakipunguzaje??
tambi rahaaa ukivaa top ukiweka na mkanda lakaa sawa bhana ukute na mr nae ana tambi raha
haki sawa kote kote....ndevu nazo siku hizi kibao
offer za kitimoto na savanna!!! siku hizi wanamaliza kilo nzima na ugali, sijui wanamkomesha nani..
Jamani kaka km huyu dada anakuwa na tumbo la aina gani kula vyote hivi kwa mara moja tunapigana hakuna anayevifurahiaMazoezi na kuzuia/control mlo. Misosi ya mafuta ipunguzwe,sio mtu anafakamia chips kuku sahani 2 na kitimoto kilo,soda kisha bavaria 2.
Jamani kaka km huyu dada anakuwa na tumbo la aina gani kula vyote hivi kwa mara moja tunapigana hakuna anayevifurahia
Hahahah! ni hatarii kwakweliWadada wa mjini ogopa. Wanakula kwa kukomoa,unamkaribisha msosi wa mchana au unatoka nae sehem,anaanza na soda wakati kitimoto na chips zinaandaliwa,akimaliza kula anaagiza bavaria za kutosha.